Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Kiukweli PAYE inayokatwa inatosha kucover mkopo niliyopewa, kwa kuilipa loan board tena ni kama nalipa PAYE mara mbili!!
Na sie tuliojilipia si tunakatwa PAYE? Lipeni madeni bana?
Kiukweli PAYE inayokatwa inatosha kucover mkopo niliyopewa, kwa kuilipa loan board tena ni kama nalipa PAYE mara mbili!!
sawa kabisa hizo hela wachukue huko tu kwa shosti ester..
Waeelezee waelewe hawa, walikopa wenyewe kwa mikono yao leo wanaona matanga kulipa?Watanzania mnanishangaza sana, Yaani kupenda vitu vya bure tuuuu.
Sasa msipolipa mnategemea wadogo zenu watasomaje?
Sawa hata kama kuna issues za ufisadi huko kwenye bodi, je unapataje nguvu za kukemea huo ufisadi wakati na wewe mwenyewe ni fisadi( kwa kutokulipa mkopo kwa makusudi).
Na kuna watu hapo juu naona wanahusisha makato ya PAYE na ulipaji wa mikopo. Jamani ivi ni vitu viwili tofauti! kwani wakati unaomba mkopo si uliingia mkataba na ukahaidi kulipa? sasa mambo ya PAYE hapo yanaingiaje?
Ebu acheni izo, rudisheni hela za watu.
Kwa taarifa yenu hata nchi tajiri duniani hawatoi elimu ya juu bure!
Na ninaenda kukagua hayo majina nikikuta ndugu yangu yeyote ambaye hajalipa......... watanitambua.
Ndugu Mwita, hapa naona unachanganya vitu viwili tofauti, Mkopo watu walikopa na masharti ya mkopo walisoma sasa hii ishu ya wabunge sijui nini, ni ishu ya kuijadili kipekee ila hapa tujadiili watu kulipa madeni yao ili wadogo zetu wasome!Bajeti ya posho kwa wabunge inatosha kusomesha watanzania.
Misamaha holela ya kodi kwa makampuni ya madini inatosha kuwasomesha watanzania wote bila kuwakopesha.
Pesa zenu kwani unadhani nasi wazazi wetu walikuwa hawalipi kodi?
Btw, pamoja na kwenda disco lakini shahada tunazo!!
kama ukosemeshwa na loan board kaa kimya tunajua tunadaiwa tunajua tuliingia miktaba (binafsi ninazo copy za hiyo miktaba) tunajua tunatakiwa kulipa na tunajua KERO tulizopata mpaka tumegradruate na hiyo bodi ya mikopo issue kubwa kwanza na kero ambayo inaonekana kwa watu ni zimamoto ya bodi ya mikopo .personally lazima nipate FINANCIAL STATEMENT yangu tena kwanza waniwekee hivi kwenye net kama walivyopost jina langu liwe na deni lote na kiasi maana nilienda kukclear chuo kufuatilia vyeti vyangu bursar wachuo ananipa habari tofauti kwamba bodi kuna hela hawajamalizia halafu inaonekana walikuwa wanalipia percent less than ile ambayo nilikuwa nimeeandikiwa loan board niwazima moto sanaWatanzania mnanishangaza sana, Yaani kupenda vitu vya bure tuuuu.
Sasa msipolipa mnategemea wadogo zenu watasomaje?
Sawa hata kama kuna issues za ufisadi huko kwenye bodi, je unapataje nguvu za kukemea huo ufisadi wakati na wewe mwenyewe ni fisadi( kwa kutokulipa mkopo kwa makusudi).
Na kuna watu hapo juu naona wanahusisha makato ya PAYE na ulipaji wa mikopo. Jamani ivi ni vitu viwili tofauti! kwani wakati unaomba mkopo si uliingia mkataba na ukahaidi kulipa? sasa mambo ya PAYE hapo yanaingiaje?
Ebu acheni izo, rudisheni hela za watu.
Kwa taarifa yenu hata nchi tajiri duniani hawatoi elimu ya juu bure!
Na ninaenda kukagua hayo majina nikikuta ndugu yangu yeyote ambaye hajalipa......... watanitambua.
iyo paye wanayonikata kwa mwaka nanunua magari mawili
ole wao ole serikali ichukue ela nyingine kwenye mshahara wangu
ole ole nitaandamana uchi
UKWELI AWANA DATA,WANATAKA WATU WAJIPELEKE WENYEWE NNA HAKIKA NA HILO kuna zaidi ya miaka 6 wakopaji rekodi zao bodi awana,na pia wanazo nyingi za miaka mingi tu zenye majina mawili na sio matatu. So hapo ndipo kuna kashesheNimejaribu kuipitia hiyo orodha naona ina mapungufu, kwa maana kuna watu ninawafahamu waliokuwa Private lakini wamewekwa kwenye hiyo orodha kama wanadaiwa na kuna watu (Mimi na wenzangu kadhaa) ambao tulishaanza kulipa siku nyingi lakini bado majina yetu yanaonekana kana kwamba hatujaanza kulipa. Naona walichokifanya ni kubandika majina ya wahitimu kutoka kwenye vyuo husika bila ya kujali kama ulikopa au laa!
Kazi tunayo
umesahau ile ya 6% na 1%inauma lakini ndo hivyo tena inabidi mlipe tu !!!
Makato haya ni nooma
nssf 10%
bima ya afya 3%
paye 30%
loan board 8%
mkopo bank 15%
hahahahaumesahau ile ya 6% na 1%
salary inamakato mpaka unatamani ulie kuna SACCOS, KUZIKANA ,..........umesahau ile ya 6% na 1%
Nimejaribu kuipitia hiyo orodha naona ina mapungufu, kwa maana kuna watu ninawafahamu waliokuwa Private lakini wamewekwa kwenye hiyo orodha kama wanadaiwa na kuna watu (Mimi na wenzangu kadhaa) ambao tulishaanza kulipa siku nyingi lakini bado majina yetu yanaonekana kana kwamba hatujaanza kulipa. Naona walichokifanya ni kubandika majina ya wahitimu kutoka kwenye vyuo husika bila ya kujali kama ulikopa au laa!
Kazi tunayo
fedha zetu wenyewe tulipe wenyewe acheni ujinga nyie
UKWELI AWANA DATA,WANATAKA WATU WAJIPELEKE WENYEWE NNA HAKIKA NA HILO kuna zaidi ya miaka 6 wakopaji rekodi zao bodi awana,na pia wanazo nyingi za miaka mingi tu zenye majina mawili na sio matatu. So hapo ndipo kuna kasheshe