KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Nidhahiri kwamba nguvu ya umma ndiyo njia pekee ya kuwang'oa madikiteta wa demokrasia kwani imeonekana hakuna uchaguzi unaokuwa wa huru,hivyo mageusi ya siasa za afrika nimaandamano bila hivyo kila siku madikiteta wataendelea kujisifu kwakusena nimeshinda kwa ushindi wakishindo wakati niwezi na wanasaidiwa na dola zote!Njia pekee ya kuwatoa ni Nguvu ya Umma.