Ze Blessed
Senior Member
- Aug 12, 2012
- 123
- 13
Wanajamvi, mimi nilikua ni miongoni mwa wale wanafunzi ambao majina yetu hayakupelekwa vyuoni, lakini leo nilibahatika kwenda sua na kuulizia inakuaje kuhusiana na hili? Ndipo nilipopewa karatasi yenye majina hayo na kwa bahati nzuri nimeliona la kwangu na form ya kujiunga na chuo nikapewa. Inawezekana na vyuo vingine ikawa hivyo jaribuni kufuatilia. Agribusness wanadai majina wameyarudisha tena tcu ila sikutaka kuuliza kwanini kwasababu facult hainihusu ila kuna jamaa yangu ndo ameelekea huko, naamini atakuja na taarifa kuhusu hilo na nitawajurisha.