Kuna baadhi ya walimu wa stashahada na shahada ambao hawajayaona majina yao kwenye orodha iliyo tangazwa jana mnatakiw kusubiri awamu ya pili ya ajira ambayo itatoka mwezi may baada ya taarifa za hawa walio pangwa sasa kutumwa wiarani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.