Hawataki waonekane wamesujudu kama wafanyavyo waislaam ingawa maandiko yanawataka wafanye hivyo.
Why not????? Hakuna anayekupangia jinsi ya kumuabudu Mungu wako.
Kuna ibada, hasa za kijiweka wakfu mbele ya mwenyezi mungu, watumishi wa kanisa wanalala kifudifudi wakiomba kama picha hiyo inavyoonekana.Hii staili ya kuomba wakiwa hivi wakatoliki wameanza lini? Au mkuu umechanganya madesa..