Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
mimi kwa sasa nimeokoka sitaki dhambi
sipokei kitu cha mtu
sitaki dhambi kabisa
Uokovu umeuanza lini?
mimi kwa sasa nimeokoka sitaki dhambi
sipokei kitu cha mtu
sitaki dhambi kabisa
Maisha kujipanga kweli. Japo umewaponda sana ila wamekuelewa.
Maisha kujipanga kweli. Japo umewaponda sana ila wamekuelewa.
Uokovu umeuanza lini?
Huamini ama?
''You never know with women''Hivi mwanamke anaekupenda anaweza kukubali kuona unadhalilika hapa mjini kwa ajili ya starehe kweli?
Mwanamke anaekupenda kweli lazima atakubali kukuvumilia na kukubali kusaidiana na wewe katika matatizo pia atakushauri kuhusumaisha. Ila kwa sababu mnapenda mauzo ndo ivo wanawake nao wanachungulia wallet wanokomba kilichopo wanawakimbia utajijuna madeni yako
Na cha kusikitisha hata wanapokula na kupanda hayo magariyenu tunajua ni mkopo mtupu na tunajua unawasumbua na kuwapa pressure
Lakini kwa vile mmeamua kufa pressure kwa ajili yetutunashukuru
Ila mimi nimewaambiatu vile nawapenda hapa
Unavojiexpress hivohivo utapata wanawake wa type yako iyoiyo
Cheni bandia noti bandia
Jifunze kuwa real utaumia
jamani kwani hizo nauli za daladala ukizichanga haifiki hio hela ya mkopo wa gari???....mie najifunza driving sasa hivi na nikimaliza tu nanunua gari,sijali sina nyumba wala nini...maisha ni kuchagua kama kupo kwa kulala kunakucha shida ya nini? lol
hapa umenena...kero za daladala hazivumiliki!!jamani kwani hizo nauli za daladala ukizichanga haifiki hio hela ya mkopo wa gari???....mie najifunza driving sasa hivi na nikimaliza tu nanunua gari,sijali sina nyumba wala nini...maisha ni kuchagua kama kupo kwa kulala kunakucha shida ya nini? lol
Mkopo hutaki tena?
mmnh unataka kunikopesha?lol
Niko hapa Oxfordshire. Njoo uchukue.
heheheh haya nakuja,kirahisi hivyo??? hauna masharti weye?lol
Wao za kwao ni Salon, kujilemba, na kwenda kupeleka pesa upande wa wazazi wake halafu Mwanamume ufanye kazi ya kuligharamia janamke zima lenye kipato chake.