heshima kwenu ndugu zangu wajasiriamali wenzangu,nimetuma hii post kuwasaidia kuepukana na wezi wa kuku ambao wameibuka hapa mjini.
Hawa jamaa wanatabia ya kufuatilia wafugaji na mara nyingi hawakatai Bei ukiwaambia 5000,mara nyingi wanatumia pick up na hupenda kuchukua kuku zaidi ya mia na kuahidi kurudi kesho yake.mtu asiyeamini inabidi uamini kwa sababu ni kitu kimemtokea mke wangu ambaye anafuga.siri kubwa ya hawa wezi ni mazingaumbwe katika kuhesabu ambapo anakupumbaza kwa madawa.
kuweni makini mke wangu kalizwa zaidi ya kuku 200 ambapo wamemlipa na aliwahesabia kuku 70 tu na wakamlipa hao 70.walipoondoka ndo akastukia banda lake limepungua kuku 200.
kuweni makini ndugu zangu ni jambo lililitokea last two days
Hawa jamaa wanatabia ya kufuatilia wafugaji na mara nyingi hawakatai Bei ukiwaambia 5000,mara nyingi wanatumia pick up na hupenda kuchukua kuku zaidi ya mia na kuahidi kurudi kesho yake.mtu asiyeamini inabidi uamini kwa sababu ni kitu kimemtokea mke wangu ambaye anafuga.siri kubwa ya hawa wezi ni mazingaumbwe katika kuhesabu ambapo anakupumbaza kwa madawa.
kuweni makini mke wangu kalizwa zaidi ya kuku 200 ambapo wamemlipa na aliwahesabia kuku 70 tu na wakamlipa hao 70.walipoondoka ndo akastukia banda lake limepungua kuku 200.
kuweni makini ndugu zangu ni jambo lililitokea last two days