Kwa wahehe & wabena.

mawazo kibao sawa na tamthilia ya kusadikika...
Kuwa na magari na majumba yasiyohesabika...
Niweze kuishi maisha ya Iringa kama niko Amerika...
Sababu nina mkwanja ningemuoa mtoto wa Malaika...
ningefanya uhalifu polisi nao wasingenishika...
Kunako mahakama mshiko wangu ungetumika...
Ningechora tatoo kichwani nywele ningesuka............................................:....................:..............lakini yote hii ni kama...kama

mwaka huu uingie BSS
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom