Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Hey JF Members,
Ee bwana kuna mtu anaweza kunipa msaada wa mchanganuo wa kufuga kuku. naona soko la kuku ni kubwa sana. hii ni biashara ambayo soko lake liko tayari. hotels, functions, vibanda vya chipss.... Yeyote mwenye idea naomba msaada please!!!!!
Kwenye msafara wa mamab na kenge tumo Tunasikililizia