mi ni kjana mjasiliamali mfugaji wa kuku wa kienyeji naomba kujuzwa kuhusu sehemu ambapo naweza kupata machine za kutoleshea kuku (incubators) na vifaranga wa kuku aina ya kochi asanteni wana jamvi.
Kama upo Dar, tembelea K'koo sokoni juu, kuna duka huwa wana uza mashine ndogo za mayai 60 mpaka 120 pia Fatmers' Choice Ilala kuna wakati walikuwa wanauza machine ndogo zote hizo ni za umeme , kuna jamaa anatengeza kila size pale maili moja Kibaha. Ila ukitaka ya mayai 200 inayo tumia mafuta ya taa mimi ninauza sh. 350,000/- ipo mlandizi Kibaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.