Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
Nina wazo kwa wanaJF hasa wadau wa soccer ambao wangependa kwenda South Africa kushuhudia hata game moja kwenye michuano ya kombe la duania.Wazo langu kama kuna watu watakubaliana na nami na wapo interested kwenda tupeane mawili matatu ya msingi ya kufanya kabla ya kwenda na kama ikipendeza zaidi tukaenda kama JF members pamoja. Let me know if you are interested am planning for that..