The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Kujuana ni muhimu sana pia kupeana muda wa kuamua mambo kwa pamoja na kuhakikisha kuwa wote malengo yenu yako sawa hata kama basi itatokea kutofautiana kwenye baadhi ya mambo ni vizuri kukaa chini wote pamoja na kuyaongea, sababu kubwa ni kuepusha mmoja kuona ni zaidi ya mwenzake na ana maamuzi makubwa zaidi juu ya mwenzake hapo ndio matatizo huwa yanaanza kujitokeza