Mafunzo mazuri smile ila wakati tunafanya yote hayo tupate ushirikiano kutoka kwao.
Mi naongezea usiwe dhaifu atakupelekesha.
Wewe unapelekeshwa?
nampelekesha.
Kumbe hufai
Wewe unapelekeshwa?
sifai kwa wengine nafaa kwake tu.
Mlete aje aseme mwenyewe
Aiseee. . .kule kwenye Tindikali kunatisha.
Embu kanigee maushauri.
huamini au?
Hhahahahahahah. . . .Heheheheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee......umeona eeeh? Sasa shauri yako....
Ila Mamaa wa matindikali wamemlima bana aisee....
Ndiyo, siamini.
huo ndo mwanzo wa mapenzi ya kuigiza.
Be who you are, show who you are... kama wako wako tu hata ukafanya hayo yote hapo juu kama ndio tabia zako ulizozaliwa nazo au ulikokuzwa nazo.
nampelekesha.
nyie watatu naona mnachezea sharubu za simba.
Smile hayo mabadiliko/'tabia nzuri' zinazingatiwa kipindi cha uchumba tu au hata mkishakuwa mke na mume?