what if ni mume wa mtu, ana family
what if he's player, na watu wanajua anamrukia kila mdada,possible na wewe
Hivi nyie wanawake bado tu mnakili zilizopitwa na wakati!
Kwa nini usiende kutafuta pesa za bure hapo, si mfungulie kesi afu unaomba akulipe...kumbuka, that is damage and you can make them pay.
OK nimekupata, afu sijui nilingia vipi kwenye thread, kwanza kumbe inataka wadada tu wajibu hahaha...mtoa mada we kweli unashangaza sasa hii thread inahusika nini na wanawake tu wajibu, kwanini wanaume tusitoe point zetu.Uko TZ hiyo kitu doesn't exist, defamation cases are not popular here
OK nimekupata, afu sijui nilingia vipi kwenye thread, kwanza kumbe inataka wadada tu wajibu hahaha...mtoa mada we kweli unashangaza sasa hii thread inahusika nini na wanawake tu wajibu, kwanini wanaume tusitoe point zetu.
Khaa! Amyner naomba nletee mimba yangu.Namfata namwambia nina ujauzito wako, leta hela ya huduma. Si anataka ligi!
Khaa! Amyner naomba nletee mimba yangu.
Manake JF nzima inajua mie ni basha ako kwa jinsi navyojitangazia.