Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Kumbe humu tunajadili seriouse issues na vitoto, ndio maana tunashindwa kuelewana some times,
Karibu kwetu Moshi bandugu! Kule kwetu ukishadinwa (kutahiriwa) unakuwa mtu mzima na unashirikishwa kwenye mambo ya kikubwa na wazee. Tuko makini mzee. Mtoto wa kipindi cha 80's kwa sasa anaweza kuwa na umri wa miaka 40 sasa. Sijui unamaanisha nini kusema unajadili ishu nzito na watoto. Nyerere wakati anapigania uhuru alikuwa na umri gani? By the way, how old are you? Inawezekana namjibu kikongwe mwenye fikra za kina Kawawa. Mwenzio kashang'atuka ujue.
Please usiende off topic, wenzio tuko kwenye mikakati ya kwenda Nazareti December. Na kwa mantiki hii, ni kwa vile kibatani cha zii hakipo, nakutwangia kwa hapa. ZIII!