spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers;
Napenda kutoa Rai kwa viongozi wa CDM na wazalendo wenzangu kuwa hapa tulipofika vijana hatuwezi kurudi nyuma.
Kwanza natoa shukrani za dhati kwa wale waliodiriki kuniamsha na kunifanya nijitambue na nifahamu wajibu na haki zangu za msingi.
Kiongozi yeyote ambaye atarudi nyuma kuunganma na majizi (Chama cha mafisadi) na kudhani kuwa sisi tutaungana nae kama upepo ajue vijana hatuko tayari kuyumbishwa.
Hivyo naomba sana viongozi makini wa CDM msibabaike mnapoona kuna baadhi ya mapandikizi yanachipuka tambueni kuwa wananchi wanaelewa gemu nzima. Mpaka sasa nawapongeza mko imara!
Viongozi tambueni sisi huko chini tuna mikakati makini ya kukiimarisha chama na muda si mrefu tutawapa maoni na ushaui wa nini kifanyike,
Tunaamini 2015 mafisadi wengi sana na wakoloni ngozi nyeusi wataikimbia nchi kwa hofu ya kusyekwa grezani pale ambapo CDM itakapo kamata dola
Peoples.............................Power!!eace:
Napenda kutoa Rai kwa viongozi wa CDM na wazalendo wenzangu kuwa hapa tulipofika vijana hatuwezi kurudi nyuma.
Kwanza natoa shukrani za dhati kwa wale waliodiriki kuniamsha na kunifanya nijitambue na nifahamu wajibu na haki zangu za msingi.
Kiongozi yeyote ambaye atarudi nyuma kuunganma na majizi (Chama cha mafisadi) na kudhani kuwa sisi tutaungana nae kama upepo ajue vijana hatuko tayari kuyumbishwa.
Hivyo naomba sana viongozi makini wa CDM msibabaike mnapoona kuna baadhi ya mapandikizi yanachipuka tambueni kuwa wananchi wanaelewa gemu nzima. Mpaka sasa nawapongeza mko imara!
Viongozi tambueni sisi huko chini tuna mikakati makini ya kukiimarisha chama na muda si mrefu tutawapa maoni na ushaui wa nini kifanyike,
Tunaamini 2015 mafisadi wengi sana na wakoloni ngozi nyeusi wataikimbia nchi kwa hofu ya kusyekwa grezani pale ambapo CDM itakapo kamata dola
Peoples.............................Power!!eace: