View attachment kawambwa.bmp
nimekutana na hii picha kwenye mtandao ikionyesha waziri wetu wa elimu tena mwenye shahada ya uzamivu katika uhandisi ikiwa anaomba kura. sasa mtu kama unampa wizara nyeti kama ya elimu unategemea kutakua na maendeleo kwel??kama anaweza kufanya hv apate kura lzm tujiulize kwenye huo ubunge kuna nini hasa....
bado tuna safari ndefu watanzania mpk tufike kwenye nchi ya asali na maziwa
nimekutana na hii picha kwenye mtandao ikionyesha waziri wetu wa elimu tena mwenye shahada ya uzamivu katika uhandisi ikiwa anaomba kura. sasa mtu kama unampa wizara nyeti kama ya elimu unategemea kutakua na maendeleo kwel??kama anaweza kufanya hv apate kura lzm tujiulize kwenye huo ubunge kuna nini hasa....
bado tuna safari ndefu watanzania mpk tufike kwenye nchi ya asali na maziwa