Kwa vijana under 30

Hujaelewa wapi Mat?
Kwamba sitojiachia mpaka nifikishe 35???
Kwasababu nikijiachia sana naweza teguka hip wakati bado mdogo?
Sijakuelewa kwa sababu mimi nipo kwenye hiyo age, sasa ukiniambia ndio unataka kuanza kujiachia sikuelewi labda uniambie usichana wako ukiwa mbichi ulikuwa unajenga familia kwanza na kulea watoto sasa ukifikisha 35 utakuwa huna majukumu ya kulea watoto wadogo na umeshamaliza kuzaa, na sasa ndio muda wa kujiachia nitakuelewa, lakini for me, starehe zinajipunguza zenyewe automatical bila kulazimishwa na mtu.

Kumbuka wewe ni mwanamke na mimi ni mwanaume, majukumu yetu kwenye ustawi wa familia ni tofauti kabisa kama peponi na jehanamu.
 
Sijakuelewa kwa sababu mimi nipo kwenye hiyo age, sasa ukiniambia ndio unataka kuanza kujiachia sikuelewi labda uniambie usichana wako ukiwa mbichi ulikuwa unajenga familia kwanza na kulea watoto sasa ukifikisha 35 utakuwa huna majukumu ya kulea watoto wadogo na umeshamaliza kuzaa, na sasa ndio muda wa kujiachia nitakuelewa, lakini for me, starehe zinajipunguza zenyewe automatical bila kulazimishwa na mtu.

Kumbuka wewe ni mwanamke na mimi ni mwanaume, majukumu yetu kwenye ustawi wa familia ni tofauti kabisa kama peponi na jehanamu.
Paragragh ya kwanza inahusika sana.
Shule ntakua nimemaliza, watoto karibu ntawatimua wakaanze kujitegemea, kama ni kazi na biashara faida ziloshaanza kuonekana and so on.
 
Paragragh ya kwanza inahusika sana.
Shule ntakua nimemaliza, watoto karibu ntawatimua wakaanze kujitegemea, kama ni kazi na biashara faida ziloshaanza kuonekana and so on.
watakuwa wamepata huo uwezo kwa hiyo miaka 35?
 
kama ndio hivyoo basi ngoja niendelee na task zangu za kula mnyama na matendo ya nayo pendelewa na jukwaa la mwisho hapa jamvini..
 
Paragragh ya kwanza inahusika sana.
Shule ntakua nimemaliza, watoto karibu ntawatimua wakaanze kujitegemea, kama ni kazi na biashara faida ziloshaanza kuonekana and so on.
Hapo tunaweza kwenda sawa, nadhani utakuwa ulitumia advantage ya kuraise familia mapema, kitu ambacho kinatucost sisi wengine mambo ya kuchelewa kuraise familia mapema matokeo yake tupo over 35 lakini mtoto bado yuko Primary!!
Kazi kweli kweli, lakini najuwa ukiwa kama mtoto wa kike unapata backup ya Mr wako so u have to party no more living hard babe q everyday. every
 
Hapo tunaweza kwenda sawa, nadhani utakuwa ulitumia advantage ya kuraise familia mapema, kitu ambacho kinatucost sisi wengine mambo ya kuchelewa kuraise familia mapema matokeo yake tupo over 35 lakini mtoto bado yuko Primary!!
Kazi kweli kweli, lakini najuwa ukiwa kama mtoto wa kike unapata backup ya Mr wako so u have to party no more living hard babe q everyday. every
Yeahh kuwahi kuna raha yake kwakweli.
Ukifikisha 40 mtoto ana 20 anaondoka zake nyumbani mzazi unaanza kujijali mwenyewe sasa. No more kupigiana kelele za kafagie chumba, katandike kitanda.
Plus, mama/baba hawafananishi na grandparents. . lolzz.Badala yake unaulizwa kama ni kaka au dada yake.
 
Yeahh kuwahi kuna raha yake kwakweli.
Ukifikisha 40 mtoto ana 20 anaondoka zake nyumbani mzazi unaanza kujijali mwenyewe sasa. No more kupigiana kelele za kafagie chumba, katandike kitanda.
Plus, mama/baba hawafananishi na grandparents. . lolzz.Badala yake unaulizwa kama ni kaka au dada yake.
Bado nipo nipo imeponza wengi sana, wengi hawafocus 20 years to come, kwa kweli ukiwa na 40 halafu mtoto ana 20, nadhani hapa unakwenda kuhudhuria Gradu yake skichukuwa degree yake kila mtu ni lazima avutiwe na ninyi.
But i will tell u something, Baba zetu waliweza kuoa wakiwa wadogo kwa sababu wakati ule ndoa haikuwa complication mpaka kufanyiwa commercial advatisement kwamba uwe na viza card. utawandawazi umeharibu kila kitu Africa.
 
Bado nipo nipo imeponza wengi sana, wengi hawafocus 20 years to come, kwa kweli ukiwa na 40 halafu mtoto ana 20, nadhani hapa unakwenda kuhudhuria Gradu yake skichukuwa degree yake kila mtu ni lazima avutiwe na ninyi.
But i will tell u something, Baba zetu waliweza kuoa wakiwa wadogo kwa sababu wakati ule ndoa haikuwa complication mpaka kufanyiwa commercial advatisement kwamba uwe na viza card. utawandawazi umeharibu kila kitu Africa.
Hahahahha, tatizo sio utandawazi bwana.Tatizo ni sisi wenyewe kwa kukubali kuongozwa na vitu ambavyo mwisho wa siku sivyo vitakavyoimarisha ndoa, vitu ambavyo vinaweza kutuondolea amani kabisa.Kwa ufupi ni kwamba TUMEPOTOKA.
 
Hahahahha, tatizo sio utandawazi bwana.Tatizo ni sisi wenyewe kwa kukubali kuongozwa na vitu ambavyo mwisho wa siku sivyo vitakavyoimarisha ndoa, vitu ambavyo vinaweza kutuondolea amani kabisa.Kwa ufupi ni kwamba TUMEPOTOKA.
Kwenye RED ndio tatizo lenyewe, sijui hili tutalisolve vipi!! maana naona kuna kasi ya ajabu ya watu kuzaa tu na kila mtu kuishi kivyake, i don't understand ni drama gani inaendelea hapa Bongo.
 
Kwenye RED ndio tatizo lenyewe, sijui hili tutalisolve vipi!! maana naona kuna kasi ya ajabu ya watu kuzaa tu na kila mtu kuishi kivyake, i don't understand ni drama gani inaendelea hapa Bongo.
Tuamke, tuache kusomba somba tu mambo.
Mhh hapo kwenye kasi ya kuzaa na kuishi kivyake sijapasoma vizuri?
 
Tuamke, tuache kusomba somba tu mambo.
Mhh hapo kwenye kasi ya kuzaa na kuishi kivyake sijapasoma vizuri?
Naona huu mtindo unaenea kwa kasi sana, na ukiangalia hakuna sababu ya msingi, maana kama ni wale wa kusema kwamba wanatesti kizazi huwa wanafunga ndoa huku mama akiwa mjamzito, lakini hawa wengine dini moja na hakuna complication zozote huwa nashindwa kuelewa what goes, am talking through my experience.
 
Naona huu mtindo unaenea kwa kasi sana, na ukiangalia hakuna sababu ya msingi, maana kama ni wale wa kusema kwamba wanatesti kizazi huwa wanafunga ndoa huku mama akiwa mjamzito, lakini hawa wengine dini moja na hakuna complication zozote huwa nashindwa kuelewa what goes, am talking through my experience.
Heheheheh, kwahiyo unaona kuna ubaya watu kuzaa bila ndoa?
 
Heheheheh, kwahiyo unaona kuna ubaya watu kuzaa bila ndoa?
sispendi watu kufanyana Production mashine, hakuna ubaya kuzaa kabla ya ndoa ila inapendeza zaidi mkija kuowana, nimeshaona matatizo ya kuchanya wazazi ni tabu tupu.
 
sispendi watu kufanyana Production mashine, hakuna ubaya kuzaa kabla ya ndoa ila inapendeza zaidi mkija kuowana, nimeshaona matatizo ya kuchanya wazazi ni tabu tupu.

Kufanyana production mashine ikiwa wote hawajakubaliana sio vizuri.Ila hiyo ya pili sijui kwanini sikubaliani nayo.Kila mtu ana haki ya kuishi vile inavyomfaa, as long as hamna anaeumizwa.Besides, ndoa sio ya kila mtu.
 
hiii niiii nanihiiiiiii
aaaaaah
mshazima mie..
Endeleeeeeni,
duh!
 
Kongosho I like this message na naona naweza itumia hapa hopefully you don't mind for nimeona ziko mtaa mmoja.

An inspiration from AshaDii with Love….


Mwanadamu yeyote huzaliwa, huishi, hutaabika/hunufaika na hatimae hufariki.
Kitutofautishacho kila mmoja na mwingine
ni ndoto zetu… Hizo ndoto ziwe
yalo ya dunia ama yalo vuka dunia; na ni jinsi gani kila mmoja husimamia na
kuhakikisha hio (zo) ndoto imefika mahala alipolenga…
Lakini hata hivyo kuna wale wasioota kabisa na kuishi kama gofu...


Hatuchagui kuzaliwa, hatuchagui wazazi wetu
Wala hatuchagui mazingira utayozaliwa na yenye hali ipi,
Wala jinsi utavyolelewa na watakao husika na kukulea..
Wengi kama si woote hatujagui kwamwe wala kupenda kufa-na
Wala hatuchagui mda na jinsi gani tutafariki….

LAKINI
pamoja na wimbi lote lituzungukalo wanadamu
Katika maisha yetu haya… La muhimu kuliko yooote
Haya mawimbi ni kua "With Determination" twaweza chagua
Jinsi ya gani ya kuishi… Hivyo basi kama huridhiki na the way
Unaishi sasa HABARI NJEMA ni kwamba waweza balika/badilisha
Hayo maisha; Maana katika options zetu maishani mwetu – hilo ndilo
Liko katika uwezo wetu… Na hio ni kwa kuzingatia Malengo yetu,
Nguvu zetu, Utulivu wetu, Umakini wetu na Most importantly
Kumhusisha Mwenyezi Mungu mana bila yeye waweza elemewa
 
Back
Top Bottom