kikwakwa
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 105
- 12
Kuna habari kwamba watumishi wote wa serikali ambao tunahitaji kujiendeleza kielimu katika vyuo vikuu hatuna haki/nafasi tena ya kupata mikopo kutoka bodi ya mikopo,eti tusomeshwe na halmashauri tunazofanyia kazi au tujisomeshe,hivi jamani kwa vi TGS A,B,C NA D tutaweza kweli kutmiza hiyo kiu ya kupata degree?AMA KWELI KWASASA VIBARUA WA SERIKALI TUMEKWISHA.