NAAPA NA MUNGU AWE SHAHIDI;Mawazo yako (mtazamo)
Hata ingekuwa dunia nzima inasema slaa, mimi ningesema BIG no!
"Happened to a priest left, he wanted more space to womanize, become an MP backed by "church denomination" failed miserably agains rulling party! crying foul play
Cannot be a hero by any intellectual standards...
Duu! Kaazi kweli kweli! Kwa nini angalau usisome vizuri uelewe alichoandika?! Hakuna anayekataa, marais wengi wanapewa u-dr. wa heshima lakini ni vilaza tu wanaokubali kuitwa kwa title hiyo kama hawakuipata darasani..Kabla ujasema jaribu kufanya tafiti mbona marais wengi tu wanazo PhD za heshima,
President Museveni Honorary PhD kapewa 20. january 2010
President Obama Honorary PhD kapewa 7. may 2010
President Mahinda Rajapaksa Honorary PhD kapewa 6, feb 2010. Sri Lanka
mkuu nashukuru kwa kunisaidia kumwelewesha huyo mtuDuu! Kaazi kweli kweli! Kwa nini angalau usisome vizuri uelewe alichoandika?! Hakuna anayekataa, marais wengi wanapewa u-dr. wa heshima lakini ni vilaza tu wanaokubali kuitwa kwa title hiyo kama hawakuipata darasani..
Duu! Kaazi kweli kweli! Kwa nini angalau usisome vizuri uelewe alichoandika?! Hakuna anayekataa, marais wengi wanapewa u-dr. wa heshima lakini ni vilaza tu wanaokubali kuitwa kwa title hiyo kama hawakuipata darasani..