...Kwa ujumbe huu... Unamaanisha mapenzi ya Dhati....

WaliNazi

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
851
96
.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....

...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....

Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....
 
....let me make this more clearer..... mimi nimfanyakazi na yeye n mfanyakazi ... twaishi mikoa tofauti........ na mara nyingi uwa twapeana maswali ya "KUSHUKIANA"... ...kama hakuna anayemuamini mwenzie... Nafikiri mmenielewa naw..
 
.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....

...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....

Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....

Anaonyesha jinsi asivyokuamini basi! Hiyo bold ndio madhui ya hiyo msg!
 
Anaonyesha jinsi asivyokuamini basi! Hiyo bold ndio madhui ya hiyo msg!

....ok....

.................kumbuka kwamba I have no reason to trust that she keeps her love on me...........

...we are miles apart...
 
mapenzi ya mbali wizi mtupu...wee bora utafute mwengine ulipo maana unaonekana wee mwenyewe u dnt trust her
 
mapenzi ya mbali wizi mtupu...wee bora utafute mwengine ulipo maana unaonekana wee mwenyewe u dnt trust her

...... I never trust my partner all my life.....
....how do u trust urs...???
 
Basi mkishaoneshwa kupendwa mna pozi. Mmegombana ila mwenzio kajirudi lakini bado unataka kufanya mambo yawe magumu.
 
well maybe thats y u shuld stop tripping and just xontinue with life na kuchapa ilale all that u see uko ulipo


...si kwamba na tabia za chapa ilale..,. Naogopa kumkabidhi moyo wote...that chochote kitakachotokea ni ji adjust fasta....
 
...si kwamba na tabia za chapa ilale..,. Naogopa kumkabidhi moyo wote...that chochote kitakachotokea ni ji adjust fasta....

Vijana kwa maneno..,we unaujua sana moyo wa mapenzi eeti? Haya hujamkabidhi moyo wote.,umemkabidhi kiasi gani.,robo,theluthi,nusu,robo tatu.?
Hizo zote mbwembwe.,huyo bi dada kakushika tena pabaya kama ni paka kashikwa shingoni,ingekuwa ng'ombe kashikwa kwa pembe..wacha kabisa huwezi kuruka.,na usjaribu,siku mtakayo achana ndo utajua kuwa ulimpa moyo wote.,.

Ushauri..
Panda gari nenda mfuate,.acha mawivu na jakamoyo unayojipa.Kampe mambo,hakikisha anaenda kibo mpk waarabu wake washuke.Usisahau kumbebea zawadi kama vyupi,perfume wanapenda mambo madogo hawa..,
 
vuruganeni tu hadi mpasuane vichwa.
Mtapata cha kusimulia wajukuu zenu.
 
When someone doubts u too much.. There's a huge possibility anadhani unafanya kile anachofanya yeye huko alipo.. So both of you have something in common.. Either wote mna cheat au mpo very insecured!
 
Back
Top Bottom