WaliNazi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 851
- 96
.....ninaishi mbali na mpenzi wangu.... Nimetofautiana nae jioni ya leo..... kama mnavyojua mapenzi ya mbali hayakosi wivu.....
...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....
Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....
...baada ya kutoelewana kwa muda....akatuma hii msg...
..."YAANI MPENZI SIKU ZINAVYOKWENDA NDO UNAZID KUUTEKA MOYO WANGU,NIHURUMIE NATESEKA JUU YAKO(yani mimi)..akaendelea... "SINA IMANI NA MULE KWAKO....UTALALA PEKE YAKO KWELI...." mwisho wa nukuu....
Sasa ndugu zangu ni kweli huyu anamaanisha mapenzi ya dhati....