Kwa yule aliyesema wa JF tumeuchapa usingizi siyo kweli laptop zimeheat zinakaribia kucease. mind you cdm imeibuka kidedea hata chaguzi ndogo za madiwani zilizofanyika jana. Ila wafuatao uchaguzi huu umewapandisha chati na kupata hadhi mpya ambazo zitatambuliwa kwa majina. Majina hayo yamepatikana kutokana na msemo wa kiswahili kwamba mtu huvuna alichopanda. Kuanzia sasa majina yao ni kama ifuatavyo.
.1. Nape Nnawiye awali alikuwa anaitwa vuvuzela pamoja na hilo ataitwa DEGE JINGA NAPE MOSES NNAWIYE
2. Livingtone Lusinde Kibajaj, kutokana na uchaguzi huu hadhi yake ya uheshimiwa ifutwe kabisa aitwe MSHENZI L.LUSINDDE
3. Benjamin W.Mkapa badala ya kula pesheni yake pole pole yeye akaja kujitia aibu kwenye majukwaa naye hadhi ya uheshimiwa na urais mstaafu tuifute ataitwa FISADI MKAPA MKOMBA MBOGA.
4. Mzee Mwinyi yeye alibaki na majukumu yake ya kulea wana hadi kule IFAKARA akapolwa wadhifa wake wa mgeni rasmi Joel Bendela akampa Lowassa (wewe bendela njaa zako zitakuuwa ) kuanzia sasa hadhi ya uheshimiwa wa Mkapa atachukua yeye ataitwa MHESHIMIWA SANA RAIS MSTAAFU ALI HASSANI MWINYI.
5. E lowassa sioni jina linalomfaa mtafutieni.
Naomba kuwasilisha.
.1. Nape Nnawiye awali alikuwa anaitwa vuvuzela pamoja na hilo ataitwa DEGE JINGA NAPE MOSES NNAWIYE
2. Livingtone Lusinde Kibajaj, kutokana na uchaguzi huu hadhi yake ya uheshimiwa ifutwe kabisa aitwe MSHENZI L.LUSINDDE
3. Benjamin W.Mkapa badala ya kula pesheni yake pole pole yeye akaja kujitia aibu kwenye majukwaa naye hadhi ya uheshimiwa na urais mstaafu tuifute ataitwa FISADI MKAPA MKOMBA MBOGA.
4. Mzee Mwinyi yeye alibaki na majukumu yake ya kulea wana hadi kule IFAKARA akapolwa wadhifa wake wa mgeni rasmi Joel Bendela akampa Lowassa (wewe bendela njaa zako zitakuuwa ) kuanzia sasa hadhi ya uheshimiwa wa Mkapa atachukua yeye ataitwa MHESHIMIWA SANA RAIS MSTAAFU ALI HASSANI MWINYI.
5. E lowassa sioni jina linalomfaa mtafutieni.
Naomba kuwasilisha.