gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Zimekua ni fikra za upinzani hasa CDM kwamba ili uwe mla rushwa au fisadi lazma uwe CCM wanasahau kwamba sisi sote ni wa tanzania.Halafu wapinzani wanajisahaulisha kwamba zaidi ya 80% ya wanachama wa vyama vyao wametoka CCM kutokana na ukweli kwamba huko nyuma vyama hivi hivikuepo.Sasa kubadili vyama hakuwezi kubadili tabia zao kwani watabaki kua walewale tu.
Kama watz hatuto badili tabia kwa m2 mmoja mmoja tutalipeleka taifa pabaya.
Sasa mtu kama ZZK anakua mtuhumiwa wa ulaji rushwa inaleta sura gani kwa watz?
Je CCM,CDM,TLP,NCCR ndio suluhisho la matatizo yetu au ni wa tz wenyewe?
Kama watz hatuto badili tabia kwa m2 mmoja mmoja tutalipeleka taifa pabaya.
Sasa mtu kama ZZK anakua mtuhumiwa wa ulaji rushwa inaleta sura gani kwa watz?
Je CCM,CDM,TLP,NCCR ndio suluhisho la matatizo yetu au ni wa tz wenyewe?