CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Kwa wizara tajwa hapo juu.
kuna haya makampuni ya utalii yanayo milikiwa na wazungu kutoka nje ambayo yanajihusisha na kupeleka wageni kwenye hifadhi zetu na vivutio vingine kama mlima kilimanjaro
haya makampuni karibia yote akaunti za fedha zao ziko hukohuko kwao na wageni/watalii hulipia huko huko kabla ya kuja tz na huku huja na pesa my b za hotel na kununua vinyago.
Sasa basi.
1, je ni nani anafanya auditing ya haya makampuni kujua faida waliyo ipata wakati akaunti zao haziko tz?
2. Tra wanawalipisha vipi hawa watu kodi? Je wanakadiria?
3. Sheria za uwekezaji zinasemaje? Ni ruhusu kampuni kuwekeza tz wakati akaunti ya hiyo kampuni na payment zote zinafanyika my be marekani, au ulaya?
wakuu kwa kweli inasikitisha sana, haya makampuni huku arusha na kwingineko kuna ofisi pekee lakini kila kitu kuanzia wakurugenzi na akaunti za makampuni yao na payment zote hufanyika ulaya, marekani na kwingineko.
kuna haya makampuni ya utalii yanayo milikiwa na wazungu kutoka nje ambayo yanajihusisha na kupeleka wageni kwenye hifadhi zetu na vivutio vingine kama mlima kilimanjaro
haya makampuni karibia yote akaunti za fedha zao ziko hukohuko kwao na wageni/watalii hulipia huko huko kabla ya kuja tz na huku huja na pesa my b za hotel na kununua vinyago.
Sasa basi.
1, je ni nani anafanya auditing ya haya makampuni kujua faida waliyo ipata wakati akaunti zao haziko tz?
2. Tra wanawalipisha vipi hawa watu kodi? Je wanakadiria?
3. Sheria za uwekezaji zinasemaje? Ni ruhusu kampuni kuwekeza tz wakati akaunti ya hiyo kampuni na payment zote zinafanyika my be marekani, au ulaya?
wakuu kwa kweli inasikitisha sana, haya makampuni huku arusha na kwingineko kuna ofisi pekee lakini kila kitu kuanzia wakurugenzi na akaunti za makampuni yao na payment zote hufanyika ulaya, marekani na kwingineko.