Kwa style hii ya mawaziri kikwete umepotea

MAJANI YA KUNDE

JF-Expert Member
Aug 25, 2008
213
37
Jana usiku kulikuwa na kipindi TBC1 KIPINDI MAALUM.KUIJADILI HOTUBA YA KIKWETE Nilipokisikiliza sikuona mjadala juu ya Hotuba badala yake WAZIRI WASIRA alikitumia kipindi chote kuisema vibaya CHADEMA dhidi ya Maandamano kanda ya Ziwa,Kama baraza zima halina cha kuongea juu ya kuwasaidia Watanzania badala yake Rais,Waziri Mkuu na Mawaziri wote wameaua kupambana na Dr Slaa na Chadema basi wajue Maandamano yatakuwa zaidi ya hayo kwani Watanzania wanaotaabika watakuwa na mengi yanayowasumbua.Akipatikana mtu atakaetuzungumzia shida na Matatizo yetu tutamsikiliza tu hata kama ni chizi. Kikwete na Mawaziri wako fanyeni kazi muone kama tutawasumbua.
 
jamaa naona serikali yote imeacha kufanya kazi sasa wanakaa na kujadili CHADEMA je kwa mtindo huo tutafika??ama kweli miaka 5 hii ya mwisho itakua migumu sana kwa CCM kutekeleza majukumu yake!
Jana usiku kulikuwa na kipindi TBC1 KIPINDI MAALUM.KUIJADILI HOTUBA YA KIKWETE Nilipokisikiliza sikuona mjadala juu ya Hotuba badala yake WAZIRI WASIRA alikitumia kipindi chote kuisema vibaya CHADEMA dhidi ya Maandamano kanda ya Ziwa,Kama baraza zima halina cha kuongea juu ya kuwasaidia Watanzania badala yake Rais,Waziri Mkuu na Mawaziri wote wameaua kupambana na Dr Slaa na Chadema basi wajue Maandamano yatakuwa zaidi ya hayo kwani Watanzania wanaotaabika watakuwa na mengi yanayowasumbua.Akipatikana mtu atakaetuzungumzia shida na Matatizo yetu tutamsikiliza tu hata kama ni chizi. Kikwete na Mawaziri wako fanyeni kazi muone kama tutawasumbua.
 
Back
Top Bottom