Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
UP TO DATE: KADA WA CCM AIFADHILI CHADEMA.
Plz! jibu hoja sio kumzungumzia mtu mwengine,hili ni lenu wana chadema na viongozi wenu. sijawahi kuona mwanachama na kada wa chama tawala akifadhili chama cha upinzani. karibu litafumuka hilo.
Ukweli unauma
Kuna mengi hujawahi kuona wala kusikia inategemea na mahali ulipo na umri wako na pia uelewa ila kila kitu kinawezekana na sasa umeona mwenyewe kwamba Sabodo anatopa pesa Chadema na si mara ya kwanza .