Kwa staili hii, CHADEMA itavunja muungano

Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.

Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka endapo wataendelea kuwa kwenye muungano.

Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.

CHADEMA inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!

Hivi pana tatizo gani kuwauliza watu wanautaka muungano wa aina gani?Baa ambazo wamiliki wake ni kutoka bara huwa zinachomwa kila siku inaripotiwa katika vyombo vya habari.Tafsiri ya matukio Kama haya nnayafananisha na moto unaowaka ndani Ila kwa sasa tunauona moshi ukifoka.Majadiliano ni muhimu sioni ubaya hapo
 
Muungano umeshavynjwa na wanzazibari wenyewe.watanganyika ndiyo wanao lazimisja kuwepo kwa muungao lakini wenyewe hswataki.nenda zanzibar ukafanye utafiti utajua.Lisu anajua hilo ndiyo maana anasema kama wanataks muungano wseme nu wa aina gani maana huu ulioko hawataki hata mimi siutaki.walio ungana walishafariku wote wawili.na faida yake kama ilikuwepo waiipata wao siyo sisi.tuache kusjabikia mambo tusiyo yajua
 
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.

Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka endapo wataendelea kuwa kwenye muungano.

Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.

CHADEMA inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!

Ni mawazo yako, na pia pumba si mchele
 
kumekuwepo na miungano mingi hapa diniani soviet union, republic of checzlovakia, yugoslavia many u can name them lakini haikuwa na tija ikavunjwa na maisha yanaendelea sembuse haka kamuungano ketu ambako wadanganyika wameungana only na one of their district. yaani nina hasira sana na huu muungano hatuhuitaji huu muungano kwa sasa, kuna EAC kuna SADC many community as a country we can benefit. idumu TANGANYIKA!
 
Hivi muungano huu ni sawa na vitabu vitakatifu ambavyo hatupaswi kuvijadili? Wazanzibar wakiuchambua wako sawa, wakiongelea watanganyika ni wahaini. Haki iko wapi? Wazanzibari wanalalamikia muungano ili hali wana katiba yao, serikali yao, mahakama zao, bunge lao na wanajipangia kila kitu chao. Wakati huo huo wanashiriki kutupangia mambo yetu watanganyika kwa sababu hatuna bunge letu, hatuna serikali yetu, wala hatuna mahakama zetu. Kwa wale wavivu wa kufikiri, Je, bunge linapojadili masuala yasiyo ya muungano (i.e ya Tanganyika), wabunge toka zanzibar huwa wanatoka nje? Baraza la mawaziri linapojadili masuala yasiyo ya muungano, mawaziri toka zanzibar wanatoka nje? n.k. Mbona mzanzibari aliuza loliondo (ardhi ya tanganyika) na watanganyika tulikaa kimya?
 
CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!

umesema kwel kbsa rejao..ni chama gani nchini kinachoweza kusema na kukemea ufisadi hadharan zaidi ya cdm,wanaleata matatizo kwa kusema kwamba maige kauza rasilimali za watanznia..amesfirisha twiga mzima mzima mpka uarabuni..wanaleta matatioz kwa kusema viongoz wasio waadilifu wawajibike...wanaleta matatizo kwa kusema muungano haukufata mlolongo wa msingi na tija kwa taifa,ni mazungumzo ya nyerere na karume...hawa cdm wanaleta matatizo kwa kudai katiba mpya itakayo msaidia mtanzania...jaman cdm wanaleta matatizo tanzania
 
CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!

Kweli ukimwona mwanaume anakojoa akiwa amechuchumaa, uje hajitambui tena! Nafikiri wewe bado hujajitambua unaishi wapi, wewe ni nani, haki zako ni zipi, unataka tz ya baadae iweje nk.

KAMA WATAZANIA WAMEINGIA KWENYE MATATIZO WALIYONAYO SASA WAKIWA NA AKILI ZAO WALIZONAZO SASA (ccm), KWA KUTUMIA AKILI HIZO HIZO (ccm), HAWATAWEZA KUYATATUA MATATIZO HAYO. INATAKIWA KUPATA AKILI YA ZIADA (cdm) ILI WAWEZE KUYATATUA MATATIZO WALIYOKUA NAYO.

NAJUA HUWEZI KUELEWA COZ HUJITAMBUI
 
CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!

Katika kauli yako hapo, umesahau kumalizia na neno "...Kudadadeki !!!..."
Hiyo "Kudadadeki" ni kwa hisani ya 'Mheshimiwa' Livingstone Lusinde (MB)...
 
Jitafakari upya na vijimawazo vyako, usiwaze kwa ushabiki maana hata akili yako itakuwa na ushabiki ndani yake. We ni kanjanja tu, Lissu aliongea jambo la msingi sana kwa mutakabali mzuri utakao ondoa kero na matatizo mengi ya muungano.
quote_icon.png
By Ground Zero

Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.



Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka endapo wataendelea kuwa kwenye muungano.



Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.



CHADEMA inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
 
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.

Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka endapo wataendelea kuwa kwenye muungano.

Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.

CHADEMA inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!

Utaikataa peke yako na mawazo yako na wenzio ambao ni misukule ya Magamba. Unatazama hizo kauli kuwa ni hatari, jaribu kufikiria huo Muungano una tija gani kwa Watz especially Watanganyika. Muungano huu una faida kwa wanasiasa wachache tu.

Siupendi huu muungano kama vile nisivyowapenda watu ambao ni 'zero-brain' ktk kujishughulisha kuwaza kama ulivyo wewe.

Natamani Muungano ufe hatta leo hii.
 
Back
Top Bottom