Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Hi, Jaribu kufuatilia jambo vizuri kabla hujalianika, vinginevyo utakuwa unawadhihirishia watu juu ya uwezo wako mdoko wa kufikiri.
<br /> <br / ni kwasabau hupendi kusikia ukweli umezoea kudanganywa na uongo uko kwny damuCDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!<br /> Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!
<br />sidhani kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kumjibu mwenzio namna hii...... na huwa nashindwa kuwaelewa pale mtu anapokuwa anakosoa kitu kinachohusiana na hao jamaa zenu wanasiasa wa chadema mnamshambulia badala ya kumwelewesha tu kwa uzuri. we hao wanasiasa unawaamini sana kwa hayo maneno yao wanayoyaongea kwa kusoma kwenye makaratasi.... wanasiasa wote ni washenzi tu hakuna hata wa maana hapo. ni bora nikae geto na demu wangu tucheze kidari poooo! kuliko kuja kutoleana kauli mbofu mbofu na za kukera kama zako.
<br />CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!<br />
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!
<br />CDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!<br />
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka endapo wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
kwani muungano una faida gani?Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
we ndo matapishi kabisa nyie ndo masaburi anasema mnafikiria kwa kutumia ******..hoja ipi imeibuliwa na wabunge wa ccm?Ili waonekane kuwa ni wapinzani lazima waipinge serikali kwa kila kitu. Lakini safari hii wamejikuta wao ndiyo wafukuza mkia kwasababu hoja nyingi zinaibuliwa na wabunge wa CCM wao wanabaki kubwabwaja tu bungeni. Hii ni mbinu inayotumika kuwazima kimyakimya bila wao kujielewa.
<br />Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu. <br />
<br />
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda<br />
<br />
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi. <br />
<br />
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
Ili waonekane kuwa ni wapinzani lazima waipinge serikali kwa kila kitu. Lakini safari hii wamejikuta wao ndiyo wafukuza mkia kwasababu hoja nyingi zinaibuliwa na wabunge wa CCM wao wanabaki kubwabwaja tu bungeni. Hii ni mbinu inayotumika kuwazima kimyakimya bila wao kujielewa.
Nimemsikiliza kwa makini sana waziri kivuli wa wizara ya katiba na sheria Mh. Tundu Lissu.
Nilisikitishwa sana na kauli ya Lissu kwamba Zanzibar iamue ni aina gani ya muungano wanataka enda
po wataendelea kuwa kwenye muungano. Hii ni kauli hatari kwa maslahi ya taifa letu. Mwalimu alishawahi kusema kwamba viongozi walifilisika hutafuta kujihalalisha kwa makundi.
Chadema inataka kujihalalisha kwa upuuzi wa utanganyika, tuwakatae hao jamani!
sidhani kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kumjibu mwenzio namna hii...... na huwa nashindwa kuwaelewa pale mtu anapokuwa anakosoa kitu kinachohusiana na hao jamaa zenu wanasiasa wa chadema mnamshambulia badala ya kumwelewesha tu kwa uzuri. we hao wanasiasa unawaamini sana kwa hayo maneno yao wanayoyaongea kwa kusoma kwenye makaratasi.... wanasiasa wote ni washenzi tu hakuna hata wa maana hapo. ni bora nikae geto na demu wangu tucheze kidari poooo! kuliko kuja kutoleana kauli mbofu mbofu na za kukera kama zako.
umechoka kutumia akili kufikiri siyo lazima kucoment ikiwa umechoka CDM siyo chama tawalaCDM ndio chanzo cha matatizo yote tuliyonayo!
Kila siku huwa nasema na nitaendelea kusema!!