Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Hapa Mkuu Mzalendo tupo ukurasa mmojaMay be Kagame basi tumpigie debe awe raisi wa kwanza EAF!
Hapa Mkuu Mzalendo tupo ukurasa mmojaMay be Kagame basi tumpigie debe awe raisi wa kwanza EAF!
Dua,Wireless internet can be achieved very easily because you will be using the mobile phones communication masts. (i.e. wherever a mobile phone communication is available you can have internet access as well.
Even in developed countries like UK this technology is widely used to compete with landlines. I am wondering why do they take so many years when the technology is easily available.
Wewe usisema mambo usiyo na uhakika nayo,nafahamu sasa ICT department inaongozwa na Daktari mwanzilishi wa ICT TZ na amekubuhu katika fani najua pale wapo vipanga kadhaa with first class in their UG na wamepiga PG mtoni .Wana mipango mizuri ikiwamo ya fiber network ambayo itakapokamilika itakuwa fully redundant and resilent (Pesa ipo,contract amepatikana)na TZ iko mbele kimpango ICT in EACDua,
TCRA na hata idara ya ICT na communication pale wizarani zimejaza watu ambao hawana ujuzi wa kutosha kwenye technology na hivyo kushindwa kutengeneza strategies nzuri ambazo zinaweza kutukwamua kwenye ICT.
Wewe usisema mambo usiyo na uhakika nayo,nafahamu sasa ICT department inaongozwa na Daktari mwanzilishi wa ICT TZ na amekubuhu katika fani najua pale wapo vipanga kadhaa with first class in their UG na wamepiga PG mtoni .Wana mipango mizuri ikiwamo ya fiber network ambayo itakapokamilika itakuwa fully redundant and resilent (Pesa ipo,contract amepatikana)na TZ iko mbele kimpango ICT in EAC
Wewe usisema mambo usiyo na uhakika nayo,nafahamu sasa ICT department inaongozwa na Daktari mwanzilishi wa ICT TZ na amekubuhu katika fani najua pale wapo vipanga kadhaa with first class in their UG na wamepiga PG mtoni .Wana mipango mizuri ikiwamo ya fiber network ambayo itakapokamilika itakuwa fully redundant and resilent (Pesa ipo,contract amepatikana)na TZ iko mbele kimpango ICT in EAC
jamaa wamezamilia kuiniua uchumi wao.la kwanza wametuma vijana wao kusoma nje ya nchi na ni wazalendo sijapata ona baada ya masomo ni nyumbani.kuna jamaa yao mmoja alikuwa engineer CNN ila amekubali kurudi na kulipwa mshahara pungufu nyumbani.Cha msingi ni uzalendo na bidii ya kazi na wamefanikiwa kuiba ujuzi nje maana wako tayari kujifanya raia ila baadae hao nyumbani.Bongo wako kila sehemu USALAMA WA TAIFA hadi IKULU.wenyewe wanajiita WAISRAELI WA AFRIKA.kazi kwenu Watanzania
TanzActive,Wewe usisema mambo usiyo na uhakika nayo,nafahamu sasa ICT department inaongozwa na Daktari mwanzilishi wa ICT TZ na amekubuhu katika fani najua pale wapo vipanga kadhaa with first class in their UG na wamepiga PG mtoni .Wana mipango mizuri ikiwamo ya fiber network ambayo itakapokamilika itakuwa fully redundant and resilent (Pesa ipo,contract amepatikana)na TZ iko mbele kimpango ICT in EAC
3. Rwanda ili kuondokana na ukabila ingependa kutoa uraia kwa watu wa mataifa mengi zaidi hivyo Rais kawaalika wengi wajitokeze hata kuomba uraia, ''watu wanaona hili ni tatizo mimi naona ni faida kwa nchi mradi wanaopewa uraia wanafuata sheria''
These are not sweet word ,project kick off is underway.Kitu kizuri ni kwamba President naye ni mkereketwa wa ICT angali Ziara yake majuzi kule google na IBM pamoja na mikati ya kukifanya UDOMO kuwa kitovu cha kuzalisha wataalamu wa ICT.TanzActive,
We are now tired of sweetie words alone friends!!
We want- Actions!! Now!!!!!
TanzaActive,These are not sweet word ,project kick off is underway.Kitu kizuri ni kwamba President naye ni mkereketwa wa ICT angali Ziara yake majuzi kule google na IBM pamoja na mikati ya kukifanya UDOMO kuwa kitovu cha kuzalisha wataalamu wa ICT.
Tanzania tuna lala tuna fikiri kila nchi iliyopo nyuma yetu itabaki hivyo hivyo? Nchi nyingi tu mbona zinatu washia indiketa na tunaziachia zitupite. During the 1960's the economy of Indonasia and Kenya was more or less the same angalia leo sasa. U.A.E was just a deserve kingdom up to the 1950's look at them now. Hii ya Rwanda is just a wake up call na tusipo angalia mpaka nchi kama Congo, Sudan, Sierra Leon etc. zitakuja kutupita. We lack leaders with vision.[/SIZE]
Kwani issue ni kuwa nyuma ya nchi nyingine au kuboresha maisha yetu? Are you saying kwa hali yetu ilivyo, tungekuwa namba moja duniani then problem solved? What do we want people?