Kweli kwa sasa tunduma ni chadema ccm ilisha kufa na ikazikwa. Swali langu kwa mbunge wangu elenest silinde(without prejudice) tujidaie nini na wewe? Swala la maji tunduma ni kero kubwa na mikakati ya kuleta maji inaendaje ingawa ccm walokaa kwa zaid ya miaka hamsini(50) walishindwa kabisa lakini sikuforce wewe ndani ya miaka 3. Ukitatua swala la maji utakuwa shujaa tunduma. Tunakuomba utuoneshe mikakati gani ipo ya kuleta maji tunduma