GAMBLER
JF-Expert Member
- Nov 22, 2009
- 303
- 11
Habari
Nina kawaida ya kula nje,nimejitahidi kujibana
Breakfast. 2000
Lunch. 3500
Dinner. 2000
Maji/drinks 2500
Jumla ni alfu kumi
Sasa wadau naomba tupeana maujanja namna ya kubana matumizi hata ikibidi kupika niko teyari lakini vyakula viwe simple maana si mjuzi wa kupika na tufundishane kupika maana hiyo alfu kumi inaniharibia sana bajeti yanngu nashindwa kumudu vitu vingine...nawasilisha
Nina kawaida ya kula nje,nimejitahidi kujibana
Breakfast. 2000
Lunch. 3500
Dinner. 2000
Maji/drinks 2500
Jumla ni alfu kumi
Sasa wadau naomba tupeana maujanja namna ya kubana matumizi hata ikibidi kupika niko teyari lakini vyakula viwe simple maana si mjuzi wa kupika na tufundishane kupika maana hiyo alfu kumi inaniharibia sana bajeti yanngu nashindwa kumudu vitu vingine...nawasilisha