mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Musa:Mambo
Jumaoa
Musa:hamjambo
Juma:Sie wazima,za uko?
Musa:Huko kwema,ndugu na jamaa?
Juma:Ni wazima,sijui huko.
Musa:Huko Shwari kabisa,vipi shemeji na watoto?
Juma;Wazima kabisa.Kazi inakwendaje?
Musa:Kazi inakwenda vema.Shwari lakini?
Juma:Kwema Mungu anasaidia.Huko shwari?
Musa:shwari kabisa.Familia?
Juma:Familia haijambo.Vp maendeleo?
Aaaaagh!!
Jumaoa
Musa:hamjambo
Juma:Sie wazima,za uko?
Musa:Huko kwema,ndugu na jamaa?
Juma:Ni wazima,sijui huko.
Musa:Huko Shwari kabisa,vipi shemeji na watoto?
Juma;Wazima kabisa.Kazi inakwendaje?
Musa:Kazi inakwenda vema.Shwari lakini?
Juma:Kwema Mungu anasaidia.Huko shwari?
Musa:shwari kabisa.Familia?
Juma:Familia haijambo.Vp maendeleo?
Aaaaagh!!