Beggars can't choose, lift uombe hafu uchague sehemu ya kukaa? Watu wana ratiba zao bwana. Huyo mwingine ambae huwasiliana kwa kutumia mkia ana haki zake na kumbuka ni PETTY ANIMAL!!!! Thoug I'm kidding lakini ukweli uko palepale!!!!
hata mimi napanda tu, si nina shida bwana, hapo umeshakaa kituoni takribani nusu saa ukiangalia muda unachelewa kazini, so mi ikitokea napanda tu. na mimi kwa raha zangu niko nyuma pekee yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.