Kwa raha Zao

Genderi

Senior Member
Dec 26, 2011
102
17
mazoweya yanatabu.jpg Mambo ya championi ligi ndio hayo mseje mkasema ooo sio kweli mnaongea sana wa Tz ,jioneeni wenyewe kwa raha zao.
 
Hivi hii inafaida gani kwetu kama sio unyani tu huu kijiko tu cha cecafa kinatusumbua hakuna mikakati yoyote ya kufanikisha soccer yetu kazi kushadadia ya wenzetu hovyoooooooooo
 
Haha, ndo maana wazungu wanatudharau sana.
Tunapenda ulimbukeni kupitiliza....haha

Hivi umeshawahi muona waziri mkuu wa uingereza anatoka uingereza kwenda Japan au china kupiga picha na wasanii, wanamichezo au kujipitisha kwa staili hii..

Haha, nyuma ya pazia wazungu watakuwa wanacheka sana viongozi wetu
 
Haha, ndo maana wazungu wanatudharau sana.
Tunapenda ulimbukeni kupitiliza....haha

Hivi umeshawahi muona waziri mkuu wa uingereza anatoka uingereza kwenda Japan au china kupiga picha na wasanii, wanamichezo au kujipitisha kwa staili hii..

Haha, nyuma ya pazia wazungu watakuwa wanacheka sana viongozi wetu

Obama alipewa offer special invitation na FIFA, during SA world cup final. Lakini alikataa.

Sipati picha mkulu wetu na yeye angealikwa. Angewasili hata wiki nzima before mashindano hayajaanza..
 
Yaani nashindwa kuelewa mantiki ya kuleta mfano wa kombe la UEFA halafu jamaa wanaacha kufanya shughuli za maana na kwenda kupiga picha...!!!!Vipi kuhusu nchi nyingine huwa wanafika kweli au ni hapa hapa shamba la bibi..?????Naomba nifahamishwe kama kuna anayefahamu zaidi wakuu wangu...:thinking:
 
Yaani nashindwa kuelewa mantiki ya kuleta mfano wa kombe la UEFA halafu jamaa wanaacha kufanya shughuli za maana na kwenda kupiga picha...!!!!Vipi kuhusu nchi nyingine huwa wanafika kweli au ni hapa hapa shamba la bibi..?????Naomba nifahamishwe kama kuna anayefahamu zaidi wakuu wangu...:thinking:

Haha, hapo wenzako kupiga picha na kombe wamefurahi vibaya, si unajua maujiko tena...

Hata Wangeambiwa waache kazi waanze kulitembeza mitaani, wasingekataa..
 
Haha Serikali hamna kazi bwana. Kazi ya viongozi ni kuzindua majengo mikutano, kupokea wageni. Au kupiga picha kama hivi.

Wewe huoni rahisi kila siku yuko Angani. Kungekuwa na assignment nyingi. Huo muda ungetoka wapi?

Ndo maana hata mikataba haisomwi.. Na kila siku Tanzania inaingia kwenye mikataba mibovu.

Wako bize na kuzindua majengo, kusafiri na kupiga picha
 
Damn! This is too much! eti Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizopata BAHATI ya kutembelewa na kombe hilo! sababu ni rahisi,SHAMBA LA BIBI!
 
tena hapo ukute walienda kufanya shopping ya nguo kwa ajili tu ya kupiga picha na hilo kombe.
 
Pumbafuuuu sana, yaani mtu mzima na mavuzi yako umepiga picha mbele ya kombe ambalo ni ndoto kulichukua, hizi si dharau hz, mi sijui watz tuna nini, kweli tunapenda umaarufu kuliko kazi.Hta wewe mtoto wa mkulima unafanya ukenge huo? Pumbafuuuu
 
upumbafu kabisa! ukute hapo yametumika mabilioni kulipokea hilo kombe. yaani sijui tutaelimika lini.
 
Back
Top Bottom