Mkuu unaua!!!!!! Hata hivyo umekamilisha siku yangu!!!
Hili la mzee wa kokoto kupanga baraza la mawaziri la mkwere liko hewani siku nyingi na linaonekana kuwa na vinasaba vya ukweli. Inaweza kuwa ndiyo maana mkwere hajawapeleka ngurudoto kula bata?