fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Kwa wale ambao masuala haya yametuathiri kwa kiasi kikubwa, wale wenye mikataba ya ajira kwa vipindi maalum. Je bado kuna haja ya kuunga mkono CCM na Serikali yake?
Mimi siungi mkono hata kidogo. TUMEDHARAULIWA VYA KUTOSHA, TUMEONEWA na KUIBIWA VYA KUTOSHA, SASA TUTAPINGA KWA NGUVU NA AKILI ZETU ZOTE DHURUMA HII NA UONEVU HUU.
Nawasilisha
Mimi siungi mkono hata kidogo. TUMEDHARAULIWA VYA KUTOSHA, TUMEONEWA na KUIBIWA VYA KUTOSHA, SASA TUTAPINGA KWA NGUVU NA AKILI ZETU ZOTE DHURUMA HII NA UONEVU HUU.
Nawasilisha