pozzyfaza
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,453
- 265
Mambo wana Jf, Katika pita pita zangu za Humu jf, nimegundua kna vijana wanapenda sana mteremko, wanapenda kulelewa. Unakuta Dogo ana 26yrs anatafuta mtu mwenye 45 or 50 yrs, Pia anatanguliza na kusema awe na Hela zake,
Na mabinti hivyo hivyo. kwanini tucjitume katika kitafuta kwa nguvu zetu. Hawa wanaopenda kulelewa.
Kuna baadhi ya Vijana wanapenda sana mtelemko pasipo kufanya kazi hii inakua hatari sana kwao. tujirekebishe ta tufanye kazi.
Na mabinti hivyo hivyo. kwanini tucjitume katika kitafuta kwa nguvu zetu. Hawa wanaopenda kulelewa.
Kuna baadhi ya Vijana wanapenda sana mtelemko pasipo kufanya kazi hii inakua hatari sana kwao. tujirekebishe ta tufanye kazi.