Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
jumapili ndio top top top kwa watu kama nyie
Ombea hiyo jpili tupate venue na kufanya hiyo makitu,alafu nicnogewe lzm utarudisha hela tuliyolipia venue!
jumapili ndio top top top kwa watu kama nyie
Mmhh... Sio kwamba sina hoja lahasha, ila kwahili SIKATAI wala SIKUBALI...
Mmmh!km hili ni kweli vp kwa wanandoa!nao wanafata ratiba hii ya jpili au?
lugha gongana nisaidieni 'ku du' ndo nini hasa?
lugha gongana nisaidieni 'ku du' ndo nini hasa?
Canta,
akikujibu swali hili, leo hii nahama Manchester kwenda Arsenal !
Bar sababu watu hawaendi kazini Jumapili,
wanaenda kupata moja moja baridi, that's it.
Eti eehh?sababu zako hizo hizo unadhani kwa nini zisitumike kwenye hilo la mleta mada?
Wenye ndoa ni ijumaa baada ya saa saba mchana na kabla ya saa moja jioni.