Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Mwenyekiti naomba ufafanuzi,katika kuandikisha watu watakaopoata vitambulisho vya taifa Dar na nchini kote,tumeambiwa ni wenye miaka 18 na zaidi.sasa najiuliza kuwa wenye miaka 17 kuteremka siyo raia,na au hili zoezi ni kwa ajili ya uchaguzi? maana hilo ndo hutaka miaka 18.je mtu mwenye miaka 17 si mwaka kesho tu atakuwa na miaka 18? so zoezi hili nalo litakuwa mradi wa kudumu?
Mimi nina wasiwasi kuwa zoezi hili litatumika kisiasa kwa maana ya kuja kusema asiye na kitambulisha cha uraia hawezi kushiriki uchaguzi.maoni yangu haya yanatokana na imani kuwa kama tunavyoona miaka3 mbele kutakuwa na wapiga kura wengi vijana ambao sasa wana miaka 17,16 na 15.yawezekana kabisa baada ya kuandikisha sasa usitokee uandikishaji mwingine.Mimi siamini tena katika programu za serikali hii.tulipoambiwa kusajili simu kulikuwa na mbwembwe kubwa na vitisho.Baadhi yetu hatimaye kwa kujua umuhimu wa kusajili namba za simu lakini tukijua pia usanii wa watawala tulikubali shingo upande.NINI kilitokea? hata baada ya kutangaza mwisho wa kusajili na nyongeza kwisha,hadi leo unaweza kununua line na kuitumia bila kusajili hadi siku kadhaa.hadi leo baada ya usajili watu wanafanya ujangili na kutukana na kutishia wenzao bila serikali wala mamlaka za mawasiliano kufanya chochote.lakini kwa wenye kukumbuka wakati wa uchaguzi mkuu,kampuni fulani waliruhusu namba za wateja wao kutumiwa meseji za kampeni na CCM.sasa mimi nimeota sugu na sifanyi tena programu yoyote ya serikali ya ccm mpaka itapokuja serikali ya chama kingine kitakachorudisha utawala wa sheria.hivyo sitaomba na wala sihitaji kuwa na kitambulisho cha taifa.(kwa sasa kwangu ni aibu kujitambulisha kama mtanzania) kwa wanaonitia hofu eti oooh utakosa visa,paspoti,ajira na haki ya kuchaguliwa,nawajibu kuwa naweza kuishi bila shida bila hayo na kuhusu ajira sioni shida kwani hata sasa sinayo na si kwa sabababu ya vitambulisho vya taifa.Simu ikitokea hizi ninazotumia zikapotea sitahangaika na kuzirudisha.kwa wanaotaka kujua nitafanya nini kuwasiliana? nitatumia komputer (au mnasahau kuwa tumeingia digitali? nayo ni ngonjera nyingine.kwa wasiojua zipo simu zisotumia line.
Na Kwa hiyo sitashiriki SENSA kwa sababu hizohizo (siyo za kidini.mimi ni mkristo).Nani anaweza kunijibu kuwa ikiwa sensa inaisaidia serikali kupanga mipango yake ni kwa nini baada ya sensa iliyopita miaka kumi kuna watoto wamemaliza shule ya msingi wakafaulu lakini wakakosa nafasi kwa kuwa hakuna madarasa ya sekondari.serikali haikujua kuwa miaka saba baada ya sensa watoto walio dara sa la kwanza wataanza sekondari? serikali bado iseme inatumia takwimu kupanga maendeleo yetu au programu ndiyo shughuli yenyewe ya maendeleo ya vigogo.Kwa kweli NATAMANI KUHAMA NCHI
Masala Kulangwa
Mimi nina wasiwasi kuwa zoezi hili litatumika kisiasa kwa maana ya kuja kusema asiye na kitambulisha cha uraia hawezi kushiriki uchaguzi.maoni yangu haya yanatokana na imani kuwa kama tunavyoona miaka3 mbele kutakuwa na wapiga kura wengi vijana ambao sasa wana miaka 17,16 na 15.yawezekana kabisa baada ya kuandikisha sasa usitokee uandikishaji mwingine.Mimi siamini tena katika programu za serikali hii.tulipoambiwa kusajili simu kulikuwa na mbwembwe kubwa na vitisho.Baadhi yetu hatimaye kwa kujua umuhimu wa kusajili namba za simu lakini tukijua pia usanii wa watawala tulikubali shingo upande.NINI kilitokea? hata baada ya kutangaza mwisho wa kusajili na nyongeza kwisha,hadi leo unaweza kununua line na kuitumia bila kusajili hadi siku kadhaa.hadi leo baada ya usajili watu wanafanya ujangili na kutukana na kutishia wenzao bila serikali wala mamlaka za mawasiliano kufanya chochote.lakini kwa wenye kukumbuka wakati wa uchaguzi mkuu,kampuni fulani waliruhusu namba za wateja wao kutumiwa meseji za kampeni na CCM.sasa mimi nimeota sugu na sifanyi tena programu yoyote ya serikali ya ccm mpaka itapokuja serikali ya chama kingine kitakachorudisha utawala wa sheria.hivyo sitaomba na wala sihitaji kuwa na kitambulisho cha taifa.(kwa sasa kwangu ni aibu kujitambulisha kama mtanzania) kwa wanaonitia hofu eti oooh utakosa visa,paspoti,ajira na haki ya kuchaguliwa,nawajibu kuwa naweza kuishi bila shida bila hayo na kuhusu ajira sioni shida kwani hata sasa sinayo na si kwa sabababu ya vitambulisho vya taifa.Simu ikitokea hizi ninazotumia zikapotea sitahangaika na kuzirudisha.kwa wanaotaka kujua nitafanya nini kuwasiliana? nitatumia komputer (au mnasahau kuwa tumeingia digitali? nayo ni ngonjera nyingine.kwa wasiojua zipo simu zisotumia line.
Na Kwa hiyo sitashiriki SENSA kwa sababu hizohizo (siyo za kidini.mimi ni mkristo).Nani anaweza kunijibu kuwa ikiwa sensa inaisaidia serikali kupanga mipango yake ni kwa nini baada ya sensa iliyopita miaka kumi kuna watoto wamemaliza shule ya msingi wakafaulu lakini wakakosa nafasi kwa kuwa hakuna madarasa ya sekondari.serikali haikujua kuwa miaka saba baada ya sensa watoto walio dara sa la kwanza wataanza sekondari? serikali bado iseme inatumia takwimu kupanga maendeleo yetu au programu ndiyo shughuli yenyewe ya maendeleo ya vigogo.Kwa kweli NATAMANI KUHAMA NCHI
Masala Kulangwa