Kumekuwa na wimbi kubwa la ufisadi hapa Tanzania,mafisadi hawa wamekuwa wakijificha nyuma ya amani na utulivu wa Watanzania.Wamekuwa wakitumia fedha haramu kuwarubuni wananchi wasichukue hatua,sasa nini kifanyike ili Watanzania wawe na ujasiri wa kuwakataa mafisadi na kuwataka warudishe fedha walizoiba bila kusita na bila kikomo.Yaani kutumia hata nguvu ya umma inapobidi.
Nawasilisha.
Nawasilisha.