Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Vijana hii n changamoto kwenu
umefika wakati ukiajiriwa ujue kuna kuacha kustaafu ama kuachishwa..nimeangaliwa vijana wazee wengi wanapoacha ama kuachishwa kazi kwa kweli ndan ya miezi sita wanakuwa wamebadilika kama wanaikaribia kaburi..ndugu mpendwa ukiwa kama kijana n wakati wako sasa wa kujipanga na kujua jinsi gan ya kuishi baada ya kustaafu..ama ukiachishwa...usisubiri upewe ppf/nssf ndio ujenge tafuta sehemu kwa ujenge kwa nguvu zako zote ukiwa kazini..msikimbilie kuendesha maagari ya mkopo ambayo wakikuakimbiza leo wanaita majembe na kuishia kwenye mabasi...funguen macho jaman na nyie wazee msisubiri mzeeke mstaafu ndio mnakimbizana kujenga utakufa na magonjwa yasiyo yako
kila la kheri jitahdini kujipanga mkiwa kazini jamani muda mzuri ukiwa na nguvu zako mtaan utachekwa...
Wasalaam
mstaafu mwenzenu
umefika wakati ukiajiriwa ujue kuna kuacha kustaafu ama kuachishwa..nimeangaliwa vijana wazee wengi wanapoacha ama kuachishwa kazi kwa kweli ndan ya miezi sita wanakuwa wamebadilika kama wanaikaribia kaburi..ndugu mpendwa ukiwa kama kijana n wakati wako sasa wa kujipanga na kujua jinsi gan ya kuishi baada ya kustaafu..ama ukiachishwa...usisubiri upewe ppf/nssf ndio ujenge tafuta sehemu kwa ujenge kwa nguvu zako zote ukiwa kazini..msikimbilie kuendesha maagari ya mkopo ambayo wakikuakimbiza leo wanaita majembe na kuishia kwenye mabasi...funguen macho jaman na nyie wazee msisubiri mzeeke mstaafu ndio mnakimbizana kujenga utakufa na magonjwa yasiyo yako
kila la kheri jitahdini kujipanga mkiwa kazini jamani muda mzuri ukiwa na nguvu zako mtaan utachekwa...
Wasalaam
mstaafu mwenzenu