Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Happy new year binamu! missed you!
I miss you shemeji.Mambo vp? Kigangoni wazima lakini
Happy new year binamu! missed you!
I miss you shemeji.Mambo vp? Kigangoni wazima lakini
Naona alipitiwa, ndo nikamkumbusha apo mkuu!
the same 2u . i missed you too.Happy new year binamu! missed you!
1. https://www.jamiiforums.com/mahusia...d-in-a-relationship-i-dont-want-to-be-in.html
Just in case u have forgotten
Senks.Iribini analea mwana.Ni zamu yakehawajambo shemeji, miss u too, iribini ako wapi leo>:? Kigangoni kwema wanakumiss pia shem!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Jamni eeeh B! vingine uvikaukiage tu na wewe haaa!!!
Vingine havikaukiki maana alisema mwenyeweeeee leo hii anageuza usemi tusemeje mwongo au?
mpwa hapa UMEUA!.............1. https://www.jamiiforums.com/mahusia...d-in-a-relationship-i-dont-want-to-be-in.html
Just in case u have forgotten
Senks.Iribini analea mwana.Ni zamu yake
1. https://www.jamiiforums.com/mahusia...d-in-a-relationship-i-dont-want-to-be-in.html
Just in case u have forgotten
jamaa amemgonga ngumi ya kushtukiza DADA AKE!...........dah!AMEPOTEZA MBAYA
neksti levo ndiye aliyepiga ule wimbo wa USIFIIIWEEE UUUTATU MTAKATIIIIFUUUUUUUUUUUU/......na umojaaaaaaaaaa USIOGAWANYIIIIIIIIKAAAAAAAHahahaha nakumbuka siku ya uzinduzi DO LE MI FA SA LA TI DO
Mamushka kwa viblurei vya methali ckuwezi.Nimekusalimia kule hujanigongea senks.mmh mkono uleao mwana...!
........Mamushka kwa viblurei vya methali ckuwezi.Nimekusalimia kule hujanigongea senks.
Nataka kuja kula viepe,siku yoyote ntatinga hapo citisenta.
Mie ngoja nisepe naona mwaka huu 2010 umekuja vibaya.Mada zote kwenye jukwaa la MMU ni za kuhusu wadada,mara wanapenda tigo,mara magari mara lile.
Naomba tuwakilishe vema kutetea ukweli.
Mamushka kwa viblurei vya methali ckuwezi.Nimekusalimia kule hujanigongea senks.
Nataka kuja kula viepe,siku yoyote ntatinga hapo citisenta.
Mie ngoja nisepe naona mwaka huu 2010 umekuja vibaya.Mada zote kwenye jukwaa la MMU ni za kuhusu wadada,mara wanapenda tigo,mara magari mara lile.
Naomba tuwakilishe vema kutetea ukweli.
bht,Carmel.Vipi wapendwa!
I miss you.
Heri ya mwaka mpya 2010.
Mungu awabariki na muwe wadada wa kuigwa kwa mwaka huu 2010.