Mkuu EL Toro nakuaminia kwa picha native za humu humu bongo, achana na wale wanapakua mtandaoni za wazungu ndo wanaweka humu. Big up sana man. Keep it up. Kuhusu uwekaji wa simu maeneo tajwa nadhani ni kwa usalama zaidi ukizingatia hawanaga nguo zenye mifuko mifuko kama men!
El Toro hawa 'wajasiriamali' uliwapiga picha kiwanja gani au tafsiri yako ya warembo ni tofauti hivyo ?
Kwa sababu kuna usalama zaidi...maana ukipeleka mkono huko kutaka kuziiba unaweza ukabambikiwa kesi mbaya kuliko ya wizi wa simu.
Hivi hizi picha ni za wabongo? Nakumbuka kukutana nazo pahala!