Kwa nini wanawake wengi wanapenda kumegwa bila condom?

Umesema kweli na inasikitisha saana... Kuna rafiki yangu mmoja (tena msomi) nashangaa siku hio katoka kwa boy friend wake ana so much energy na furaha ya juu saaana.... ikabidi nimuulize kulikoni?? The jibu alinipa niliishiwa pose kabisa... nilishindwa sema lolote; kua huyo boyfriend wake toka wameanza huo uhusiano wa two months siku hio ilikua ni mara ya tatu kufanya hilo tendo - Siku zoote the guy alikua anatumia Condom, but siku hio hakutumia.... Furaha ya huyo rafiki yangu ilikua kwamba sasa the Guy inaonesha kaanza kumuamini (yeye mdada) maana kalala nae bila condom, hivo ni kisa cha firaha yake!! Imagine ni mwana chuo.... kasoma but elimu bado haijamkomboa pande hizo.... kwamba kipimo cha kupendwa ni kulalwa bila condom... while i thot otherwise....

Asha Dii nimependa hilo neno Kulwalwa.....zamani ndio walikuwa wanalalana siku hizi duh....
 
Hii mada imenigusa mno.Mara zote nilizokutana na hawa wanawake nimekuwa nikijaribu kama nataka kuingia kavu but kati ya 100+ mizigo niliyobeba si zaidi ya wawili walio-resist.
 
Kawaulize hao wanne uliokutana nao. Kwa nini mnapenda kuwadhalilisha wanawake? Kila jina baya lao na sifa zote mbaya zao. Jifunzeni heshima bwana!
 
Salaaam JF Members!,Katika hangaika yangu, nimeshakutana na wadada kama wa nne hivi kwa nyakati tofauti, ambao katika hatua za kufanya mapenzi, walikuwa wananing'ang'aniza nisivae condom!!. Hivi ni nini mzizi wa hulka hii kwa wanawake. Kwa kuwa hata wengine waliokubali kun aambao nilikuja kuuza mechi baadae lakini ninaekumbuka kuwa aliresist ni mmoja, na sababu aliyoitoa ni kuwa yuko kwenye siku za hatar. Hivi wanawake hawaogopi ukimwi???? Au ndo kusema wengi wana UKIMWI so wanataka kuambukiza wengine?
Mkuu hii sample ya wanne tu ni ndogo sana na hujasema ni kijiji gani au ni mjini,mimi miaka yote niko mjini na ni mara mbili tu ilitokea bila ndomu mara moja ulevi na mara ingine binti alinivua mwenyewe akidai ana miaka hajamwagiwa(tulipima).Mara zingine zote hata kama sina mabinti wanatoa zao kwenye pochi na kunivalisha.Kuna mara nyingi mechi imeahirishwa kwa ukosefu wa ndomu hata baada ya kufika uwanjani.
 
kaka pole sana najua utakuwa unajuta tu kwa hicho kitendo kapime na usirudie tena
 
Roast tamu wajameni, kila mtu anaipenda ila tu kwa kuwa siku hizi magonjwa mengi ndio maana watu wanatumia condom. But still right now kuna AIDS ila watu wanadare kula roast bila kujali, sasa kungekuwa hamna AIDS, watu wangekuwa wanakula roast daily!!! Ile kitu tamu balaa, haina mfanowe! Wadada wanataka kuenjoy to the maximum.
 
Hivi nauliza, kondom si inakinga huko chini tu, na hii tunayoambiwa kama hao watu wanamichubuko mdomoni wanauwezekano wa kuambukizana VVU wanajikingaje mdomoni? Au ndio watakuwa wanajisevia kibubububu!
 
duh, binafsi bila condom never, tena dem akishauri nisivae namtoa baru hapo hapo atakua ana ngoma.
 
Kwa sababu wote unaowapenda na kukutana nao ni wahuni.....that's the simple answer...usiwaumize wana jamvi kufikiria majibu ya kukupa....full stop.
 
unauliza wanawake hawaogopi ukimwi!!!! what about you? huogopi unawamega hivyo2. angalia hiyo research unayofanya unaweza ulifanye analysis kama jina lako lilivyo ukaangamia!!!!
 
mtu ahamue mwenyewe kupata radha nzuri ya sex kwa vijidakika na kisha kupata karaha ya fikra ya maambukizi ya HIV for the rest of maisha yake,asiyependa kutumia condom muogope anakutafutia membership ya victims
 
nafikiri ni uaminifu alionyesha kwako mpaka anachukua maamuzi hayo, sio kitu cha kushanga na kuona hawapendi nafikiri siku ya kwanza alikugomea kati ya mmoja wapo.
 
kikubwa ni kuwa huwa zinawaumiza kwa sababu ule msuguano unaokuwepo unakuwa ni kati yake na plastik na wala si kati ya ngozi kwa ngozi! kwa hyo pindi anapokaukiwa ndo huwa anaanza kuhisi maumivu!
 
wake za watu hawana sababu ya ku resist maana wanakuwa na kisingizio. kama ni mimba anasema kitanda hakizai haramu na kama ni ukimwi atasema mr ndio source. kawaida ya hawa mama mkishakuwa wote kitandani hakiri yote inaamia chini kwa hiyo kichwani hubaki ziro.
 
Salaaam JF Members!,
Katika hangaika yangu, nimeshakutana na wadada kama wa nne hivi kwa nyakati tofauti, ambao katika hatua za kufanya mapenzi, walikuwa wananing'ang'aniza nisivae condom!!. Hivi ni nini mzizi wa hulka hii kwa wanawake. Kwa kuwa hata wengine waliokubali kun aambao nilikuja kuuza mechi baadae lakini ninaekumbuka kuwa aliresist ni mmoja, na sababu aliyoitoa ni kuwa yuko kwenye siku za hatar. Hivi wanawake hawaogopi ukimwi???? Au ndo kusema wengi wana UKIMWI so wanataka kuambukiza wengine?
kwani na ww ulivyokubali ulitegemea nini?alafu huwezi kula pipi na ganda lake,pia sio wanawake wote ni wachache wanofanya ivyo.
 
wake za watu hawana sababu ya ku resist maana wanakuwa na kisingizio. kama ni mimba anasema kitanda hakizai haramu na kama ni ukimwi atasema mr ndio source. kawaida ya hawa mama mkishakuwa wote kitandani hakiri yote inaamia chini kwa hiyo kichwani hubaki ziro.
kwani hamezungumzia wanawake waliokuwa kwenye ndoa?au wanawake wa sikuizi?means wanawake kwa ujumla
 
kikubwa ni kuwa huwa zinawaumiza kwa sababu ule msuguano unaokuwepo unakuwa ni kati yake na plastik na wala si kati ya ngozi kwa ngozi! kwa hyo pindi anapokaukiwa ndo huwa anaanza kuhisi maumivu!
so unashauri nini?waendelee kutokutumia kondom au watumie?
 
nafikiri ni uaminifu alionyesha kwako mpaka anachukua maamuzi hayo, sio kitu cha kushanga na kuona hawapendi nafikiri siku ya kwanza alikugomea kati ya mmoja wapo.
kweli kabisa kama mmependana na kuaminiana haina haja ya kutumia kondom,basi ww sio mwaminifu
 
Back
Top Bottom