Kwa nini wanawake wazuri sana kwa umbo wengi wao hawaolewi??

Hiyo ipo ila inategemea na mazingira na umempata vipi....ila percent kubwa ni kweli wana matatizo sana na dharau nyingi......
 
wengi wa hao wanawake wanapopevuka hufwatwa saaana na wanaume wenye pesa na asilimia kubwa ya wanaume wenye pesa ni waume za watu na ili kumnasa kirahisi pesa zitamwagwa hapo ahadi kemkem so utakuta mwanamke kamaliza tu form four tayari ananunuliwa gari na mme wa mtu kapangishiwa nyumba nzima kafunguliwa biashara so kwa dizaini hiyo wewe bachelor uliyemaliza chuo ndo kwanza unaanza kazi na kimshahara cha mwazo ukimpata mwanamke wa hivyo utaishia kuchanganyikiwa tu. waume za watu wengi ndiyo wanaowaharibu hawa wasichana. nna mifano minne ambayo ina support mawazo yangu. sasa hivi kuna dada yupo ofisini nnapo fanya kazi ana t.a.k.o la kufa mtu na ni mzuri kweli hapo alipo salary ni kwa commision lkn anatembelea VEROSA wapo weeengi tu ma meneja directors MDs wanawapromote isivyotakiwa. so mkubwa ukimwona wa hivyo wewe tambaaaa utaumia tu

ALAA!! Kumbe!!!
Sasa mnalalamika nini na kumbe wabaya wenu ni nyinyi wenyewe?

Hawaoleki kwa vile mnaharibiana wenyewe kwa wenyewe.
 
Mbona me mke wangu ni mzuri na nimemuoa. We kama unawaogopa ni wewe wengine tumeoa wake wazuri sana hadi tunajikubari. Hao nh watu wa kawaida tu km wengine jaribu kujenga urafiki nao utagundua kuwa hawana utofauti na wengine!
 
Ni kweli kabisa mimi nikiwa ni mmojawapo huwa tunaringa sana sababu unakuwa na list ndefu huko nyuma inakusubiri so maringo kibao. Kuna msemo mwingine unasema men are like daladala if u miss one another one is around the corner.
Matokeo yake tunaishia kuolewa na wanaume wa ajabu ajabu tena wengine wazee. Maoni yangu sijamsemea mtu nimejisemea mwenyewe
wow!thisi is touching binti amsi.
 
Mbona me mke wangu ni mzuri na nimemuoa. We kama unawaogopa ni wewe wengine tumeoa wake wazuri sana hadi tunajikubari. Hao nh watu wa kawaida tu km wengine jaribu kujenga urafiki nao utagundua kuwa hawana utofauti na wengine!
uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtu lkn.
 
wengi wana viburi na majivuno.
mwana mme hapendi mwanamke anayekuwa na majivuno,kiburi,na asiyekuwa na heshima.
Uzuri bila heshima ni kazi bure
ndio maana mnawaona wengi hawajaolewa.
 
Jamani hako ni kautafiti kadogo tu nilikofanya. Naomba msinishambulie sana wazee wa research. Katika tembea tembea yangu, nimekutana na wanawake wa kila aina. Lakini mara nyingi kila ninayemwona mzuri tena mzuri haswa, nashangaa hajaolewa. Hii imenitokea mara nyingi sana. Siku moja tulikuwa tunaongea na rafiki yangu mmoja kuhusu suala hili, .

Haya wanaJF mnakubaliana na conclusion hiyo, na kama ndivyo, sababu yake ni nini?

Dumelambegu;

Vipi Mkuu? You seem to be so much scared about the research findings yet your thread claims your findings are based on a research. These are contradictions imposed by yourself.

This entire post is based on generalizations; obviously, there are exceptions to every rule of thumb. Some may protest the use of stereotypes, but there is often enough truth in them to lightheartedly convey valuable insights.

you have presented two items: "Lakini mara nyingi kila ninayemwona mzuri tena mzuri haswa, nashangaa hajaolewa" and the other one from your friend: "ajabu nae aliniunga mkono kwamba wanawake wazuri sana kwa maumbo wengi wao huishia kuzalishwa na kuishi single"

• The terms “attractive” and “beautiful” refer to cultural and media standards, not to a woman’s inner beauty.

• The term “good in relationships” refers to men who are emotionally available, good communicators, hunger for emotional intimacy with their partner and know how to make a woman feel cherished.

• Certainly, many beautiful women have found their soulmates. I am simply contending that it’s a mistake to assume that an attractive woman can find Mr. Right as easily as a handsome man can find Mrs. Right Now.


I have suggested 9 reasons why Beautiful Women has trouble finding Mr. Right and hence to remain single or bila kuolewa:

1) The more attractive the woman, the more likely she will be approached by the kind of man who approaches attractive women. This kind of man views hunting, seducing and conquering women as sport.

2) Hunters view women as nothing more than prey. By definition, nice guys are missing the “seducer” gene; even if they knew how to “play the game,” their conscience would never allow them to sweet-talk and manipulate a woman for their own selfish interests.

3) Seducers are more likely to suffer from the disorder known It’s All About Me All The Time. Nice guys are more likely to be empathetic, nurturing and other-centered.

4) The more attractive the woman, the less likely she will be approached by the kind of man who is good in relationships. Conversely, the less attractive the man, the less likely he will approach a woman who is far more attractive than he is. That said, are there nice guys who are attractive enough and/or courageous enough to ask out a beautiful woman? Certainly. But they are a rare breed.


5) The kind of man who values emotional intimacy often looks at a beautiful women and thinks, “She’s out of my league.” That is the overwhelming reason why so many women are wondering why nobody (or at least nobody worth going out with) ever asks them out. Essentially, seducers view a woman’s beauty as an invitation; nice guys view it as a deterrent.

6) Since beautiful women are only approached by hunters, they understandably think that most, if not all, men treat women the way that hunters do. Meanwhile, the nice guys sit in the back of the room and admire her from afar. Of course, identifying the nice guys isn’t that simple; a man may be quiet and reserved, but just because he doesn’t act like a seducer doesn’t mean he doesn’t aspire to be one. The wolf in sheep’s clothing is just one more obstacle on the path to finding Mr. Right.

7) If a woman wants to be swept off her feet by a man who would also make a good lifetime partner, she is apt to be disappointed. The kind of charmers who are sweep-her-off-her-feeters are often the polar opposite of the kind of men who are good in relationships.

8) Hunters are more achievement-oriented and attracted to a woman for her looks. Nice guys are more relationship-oriented and attracted to a woman for who she is. In short, a woman wants a man who wants to know her as a person, not possess her for her beauty. What so many admiring men and envious women fail to see is that a woman’s beauty can be as much of a curse as it is a blessing.

9) Women who are less attractive to the type of men who only pursue attractive women are more likely to have higher-quality interactions with men. Why? Nice guys are often more comfortable asking out women who they feel are more likely to agree to go out with them.
 
hii kitu iliahi kunikumba...dada mmoja mzuri haswaaaa....alinichinjia baharini nyie acheni.....nikajipa moyo na kusema mwanaume hazeeki..
nikatulia nikatuma maombi mengine kwa mwinge na mambo yakawa poa na mpaka sasa tunaishi wote....yule aliyenitosa siku hizi amekosa soko kachujuka kama nini....umri umemtupa yaa sasa hivi anaweza kutemba toka Mwenge(dsm) hadi mbagala rangi tatu hajasimamishwa na mtu...chaka mbaya...
 
Wanafuatwa na wanaume wengi kiasi kwamba hata kujua ni yupi wa ukweli inakuwa ngumu, na sehemu kubwa ya wanaume wanao wafuata ni kwa sababu ya tamaa za mwili akishatimiza haja yake basi anapotea au anatafuta msichana mwingine anamuoa. Ni kweli kuna baadhi ya wasichana wazuri ukiwa nao ujiandae kufa kwa ugonjwa wa moyo, japo wapo wengine wanajiheshimu sana. Kwa wale tusiopenda BP za ujanani tunajitafutia material wife then tunatulia kwa raha zetu. Huwa naangalia ndoa nyingi kanisani ninaposali mara nyingi ni wasichana wa kawaida sana. Japo msichana mzuri kama anajiheshimu ni rahisi sana kuolewa japo wengi tamaa za dunia zinawaponza.
 
hii inaweza kuwa na ukweli flani kutokana na wanawake wengi wazuri kujiamini zaidi na kutokuwa na wasiwasi wa kutoswa kwa kuwa anajua soko lake ni kubwa!!lkn na sisi wanaume pia huwa hatujiamini ktk kumfuata yule unaemuona ni mzuri kwa kuogopa kutoswa na ushindani!si wanawake wote wazuri wana kiburi na dharau
 
wengi wa hao wanawake wanapopevuka hufwatwa saaana na wanaume wenye pesa na asilimia kubwa ya wanaume wenye pesa ni waume za watu na ili kumnasa kirahisi pesa zitamwagwa hapo ahadi kemkem so utakuta mwanamke kamaliza tu form four tayari ananunuliwa gari na mme wa mtu kapangishiwa nyumba nzima kafunguliwa biashara so kwa dizaini hiyo wewe bachelor uliyemaliza chuo ndo kwanza unaanza kazi na kimshahara cha mwazo ukimpata mwanamke wa hivyo utaishia kuchanganyikiwa tu. waume za watu wengi ndiyo wanaowaharibu hawa wasichana. nna mifano minne ambayo ina support mawazo yangu. sasa hivi kuna dada yupo ofisini nnapo fanya kazi ana t.a.k.o la kufa mtu na ni mzuri kweli hapo alipo salary ni kwa commision lkn anatembelea VEROSA wapo weeengi tu ma meneja directors MDs wanawapromote isivyotakiwa. so mkubwa ukimwona wa hivyo wewe tambaaaa utaumia tu

Asante Chimunguru;

this is one of the very good reasons in a way.

One page.

Respect.
 
Punguza hasira mkuu, hayo yote maisha. Muombee mungu nae afanikiwe usifurahie mateso anayo yapata. Kumbuka na wewe una ndugu wa kike si ajabu nao wame wa kataa wengi.

hii kitu iliahi kunikumba...dada mmoja mzuri haswaaaa....alinichinjia baharini nyie acheni.....nikajipa moyo na kusema mwanaume hazeeki..
nikatulia nikatuma maombi mengine kwa mwinge na mambo yakawa poa na mpaka sasa tunaishi wote....yule aliyenitosa siku hizi amekosa soko kachujuka kama nini....umri umemtupa yaa sasa hivi anaweza kutemba toka Mwenge(dsm) hadi mbagala rangi tatu hajasimamishwa na mtu...chaka mbaya...
 
Back
Top Bottom