MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Jamani huyo achana naye, wa nini mtu kama huyo jamani wanawake wenye upendo wamejaa duniani kibao, yaani kinachokukosti hapo ni kukosa roho ya kijasiriamali, jaribu utaona faida yake. Huyo inaonyesha ana mtu tayari ndio maana wewe sio kipaumbele chake. Narudia tena achana naye.