Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
mimi napinga sana ulaji holela wa kiti motoAfadhali leo mnashauriana kupunguza vitambi....
mimi napinga sana ulaji holela wa kiti motoAfadhali leo mnashauriana kupunguza vitambi....
Kitambi sio guarantee bwana! watanga wanasifika ktk mapenz coz of their nature, c unajua tena watu wa mwambao? wenzetu hawaendi shule bt muda mwingi huwaza juu ya stail mbali mbali za mapenzi, na huzivumbua kweli!hawana vitambi
Mimi nashauri sana juu ya umuhim wa kufanya mazoezi!mimi napinga sana ulaji holela wa kiti moto
usije ukaenda kutest na kuzamia moja kwa mojaKheee naomba nireport mhamishiwe kwa wakubwa maana mmeanza kujadili yanayotuzidi wengine umri!!
Mazoezi muhimu sana pia tupunguze laga ndio zinafanya tule michemsho/nyama choma usiku wa manane.Mimi nashauri sana juu ya umuhim wa kufanya mazoezi!
Kitifaya ndio mpango mzima bana..mimi napinga sana ulaji holela wa kiti moto
Huko sio saizi yangu kabisa....!usije ukaenda kutest na kuzamia moja kwa moja
hiyo point ya kutoenda shule itoe. kwanza.ina maana makabila mengine yanadharau mila?Kitambi sio guarantee bwana! watanga wanasifika ktk mapenz coz of their nature, c unajua tena watu wa mwambao? wenzetu hawaendi shule bt muda mwingi huwaza juu ya stail mbali mbali za mapenzi, na huzivumbua kweli!
Kiherehere hicho.Kheee naomba nireport mhamishiwe kwa wakubwa maana mmeanza kujadili yanayotuzidi wengine umri!!
Ehhh haya...samahanini sana na kwaherini!Kiherehere hicho.
eeeee...ili mtukimbie badae mkitambi ukishakoleaKitifaya ndio mpango mzima bana..
Hahahaa! Utayakuta mbeleni. Ndio maana mwenzenu huwa sicheki tamthilia za mapenz, huwa nacheki tutorial coz mwisho wa siku najua tamthilia zinalenga ktk uhusiano waki'tutoria!Kheee naomba nireport mhamishiwe kwa wakubwa maana mmeanza kujadili yanayotuzidi wengine umri!!
Rudi bwana, huyu atakua na ucngiz!Ehhh haya...samahanini sana na kwaherini!
Mkuu kweli kabisa, michemsho noooma!Mazoezi muhimu sana pia tupunguze laga ndio zinafanya tule michemsho/nyama choma usiku wa manane.
Narudia tena kuonyesha msisitizo, "Dada zetu wa kibongo wengi wao ni malimbukeni ktk mapenzi" wanawapenda wakongo pasipo sababu, wanafata mikumbo tu!au hawa dada zetu wanapenda makuu, unaweza hakuna cha kukatika wala nini
Umekula nusu kilo na bia 5 unalala kitambi lazima na magonjwa ju.Mkuu kweli kabisa, michemsho noooma!
Mkuu sasa naona unamatani na komba teh!Umekula nusu kilo na bia 5 unalala kitambi lazima na magonjwa ju.
ilikuaje mpaka huyo dada akakwambia siri nzito hvo?Mi kuna dada aliniambia ukiacha wacongo wanaume wanaogusa kuta zote hapa TZ kidoogo afadhali wa Tanga.
Kamanda mheshimiwa nimeambia anachomewa nusu mbuzi sio vinusu kilo vyetu aisee.Mkuu sasa naona unamatani na komba teh!