Kwa nini wanawake hawaipendi chadema?

Nina mpango wa kumtia vibao mwalimu mkuu atakayepeleka mtoto wangu wa shule ya msingi kwenye mkutano wa ccm.
 
umemjibu vizur hyo jamaa hpo juu hivi hushangai akina mama wengi wa vijijini ndio washangiliaj CCM kweli huwa kunna vitu wanapewa ukiachana na khanga na tshirt
 
Hili ni suala la mda tu,siasa kwenye umaskini na ujinga mwingi kama hapa Tanzania ambapo 40% watu hawajui kusoma wala kuandika inahitaji kujitoa

ila subiri shule za kata hzi na vyuo vifanye kazi yake,maana walau watakaohitmu huko watasaidia kuwaelimisha wazazi/wazee wao na hapo ndo utajua maana ya umaskini kwa watu wenye elimu na wenye kuelewa mambo,ukiona hvyo jua yaliyonenwa yanatimia

nikukosoe tu,wazee wengi enzi za TANU walilazimishwa kuwa wanachama na ndo hao leo wako CCM wanaulizia Nyerere WAO YUKO WAPI MBONA HAONEKANI,hawamuulizii JK ama RA ahaa,wanamuulizia Nyerere,tofauti na CDM hatulazimishi watu bali kizuri chajiuza

kokote duniani vijana maskin,wasomi na wenye nguvu ndo chanzo cha mapinduzi,tusidanganyane,mzee wa miaka 70+ leo umwambie mabadiliko si anakuona chizi,atakwambie kwake kushakucha kushazama,na ukimwambia vpi sisi vjana?anakujibu mbona mtaleta vita,

kutokana na umaskin mwaka mzima mke hana hata doti1 ya khanga,anamwona mme wake ndo adui,akiona mafisadi wanaleta pilau,kofia na khanga baaasi,wanawake wanawageuka waume zao wengne wanasaliti ndoa na kuimba wimbo wa mafisadi,dada zetu tambueni,ukosefu wa khanga,maji,ambulance,hosptali n.k tatizo si waume zenu,tatizo ni mafisadi,sie (waume zenu) tunawapenda sana
 
Mh!hawa vijana waandamanaji hawaoneki kama wana wake au wazazi achilia mbali mahali pa kulala!kwa uelewa wao hata anachozungumza slaa kwao ni kama kiarabu

Unawaona hivyo kwa sababu ya mfumo mbaya wa uongozi uliopo, umeshindwa kuwapa watu maisha bora na kila kukicha zile rasilimali ambazo zingewapa maisha bora zinatumika kuwaneemesha wachache ambao ndio leo CCM wamewaita magamba na wanataka kuwaengua bila mafanikio.

Baada ya wao kugundua unyonyaji huo sasa wanataka mabadiliko kwa nguvu zote.
 
ww ni mwanamke ama mwanaume?na umepewa tshirt ama pesa kuja hapa jf kututusi?unajua kuchukua hela ya mtu/magamba kufanya vitu unethical haina tofauti na kuuza mwili kwa ugali?nakuweka kwenye maombi ndugu.
<p>
Kama unahudhuria mikutano na maandamano ya chadema utagundua kuwa watu wanaohudhuria wengi wao ni wanaume! Najiuliza ni kwa nini? Hata ukiwahoji wanawake m1 m1 wanasema hawaipendi chadema!nimeshafanya hivyo! Wenzetu amerika vyama vya siasa vinapigania sana kukubalika na wanawake. Lakini mikutano ya ccm wanawake huwa wanakuwa wengi sana!! Hata hao wanaume ambao huwa wanahudhuria mikutano ya chadema huwa ni vijana wadogo mapepe flani hivi!busara zero. Ama kweli rafiki wa muhuni ni wahuni wenzake!! Mungu aliwaumba wanawake na busara ya kimungu! Wanajua kipi chema and kipi uozo.
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Asante kwa matusi yako lakn mimi naipenda CHADEMA na ni mwanachama hai kabisa


DA mzima wewe? Vipi weekend!? Pia unaweza kuitumia changamoto hii kuwapigia debe CDM kwa ndugu, jamaa na marafiki wote (ikiwemo Wanawake) ili kuongeza idadi ya wanachama hai kule CDM.
 
<font face="Book Antiqua"><font size="4">DA mzima wewe? Vipi weekend!? Pia unaweza kuitumia changamoto hii kuwapigia debe CDM kwa ndugu, jamaa na marafiki wote (ikiwemo Wanawake) ili kuongeza idadi ya wanachama hai kule CDM.<br />
</font></font>
<br />
<br />
Niko poa sana ngoja nianze kazi uliyonipa BAK weekend wapi bana
 
  • Thanks
Reactions: BAK
wanawake wapo wengi tu ila wengi wao hawafati cdm sijui kwasababu cdm haitoi hongo ya tshrt,kanga na mashati?
 
Wanawake wa mtaani kwenu tu ndio wanaonfil jeikei,sisi kwetu ni peopzzzzz! Yaan wanawake front line kwenye changes tena Twanga kotekote hadi ccm b+
 
Umeshawahi kujiuliza kati ya wanawake/wanaume au wazee/vijana ni wepi wanahama sana sehemu zao za kazi? Basi kwa taarifa yako hakuna kiumbe kinachoogopa mabadiliko kama wanawake au wazee, mind zao zimejitune kuridhika na walichonacho kiwe kibaya au kizuri.
1.Kwenye ndoa ukishafikia umri wa uzee hata spouse wako akucheat mtalipeleka swala kwa wazee na mwisho mtaendeleza maisha (wakati kwa vijana mchezo umeishia hapo). Pia ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanaume kupenda kujaribu mabadiiko hasa kama hapati kile anachokitaka kutoka kwa spouse wake.
2. Sehemu nyingi za kazi mtu ukishafikia umri fulani wa uzee hata boci wako akutukane vipi utaendelea kukaa ukisubiri kustaafu, vivyo hivyo kwa wanawake. Si tuliooa tunakutana na incidence za wife anakuja huku analia ooh boc kanitukana, mshahara nalipwa kidogo na mambo mengi mabaya ya kazini, ukimwambia hama anasema nimeshapazoea. Mpaka inabidi we mwanaume ndio ufanye initiative za kumtafutia kazi na umlazimishe sana kuhama.

Kwa hiyo ukae ukijua vijana hawa wanaoenda kwenye mikutano wanarudi nyumbani kuwasimulia baba zao na wake zao walichosikia na wanachojua kuhusu CDM na CCM, ndio hawahawa wenye uwezo wa kuwaconvice wanawake zao waipende chadema na si kuconviciwa na hao wanawake zao. Mpaka kufika 2015 utshangaa idadi ya wanawake itakavyopungua kwenye hiyo mikutano ya Magamba.

Wazee na wanawake wanachukua muda kuelewa jambo na kulifanyia kazi kuliko vijana wa kiume, ila siku wakielewa hata utumie mbinu hata za kujikata kichwa hawatarudi.

hapo umemjibu ki great thinker kama inavyotakiwa. Nadhani hiyo ndio conclusion yenyewe hakuna haja ya kuendelea tena na majibizano.
 
Haya matusi sasa wazi wazi unadhani wakati nyie mnatoka kwenda kukaa bar mpaka saa nane usiku watoto nani anawaangalia...? Wakati unatoka kazini unapita kutembelea marafiki zako ukija nyumbani ukute chakula na hakuna mfanyakazi nani anapika...? Vyombo ulivyonywea chai asubuhi nani anaosha? Nguo kila siku wabadili na pasi unataka upigiwe na sijakusikia hata siku ukishika sabuni kufua unategemea nani afue...? Kitanda ulicholia na kuamka asubuhi bila kutandika ukirudo wakuta kiko safi nani ametandika? Halafu mnasema haki sawa na hatuipendi Chadema. Tubadilishane majukumu siku moja uone hiyo mikutano ya Chadema tutakavyofurika kama mchanga baharini. Familia kwanza siasa baadaye.
 
Wanawake wako wengi tu tatizo wanapiga magwanda huwezi kuwatofautisha kwa ghafla , mm wa kike naifeel sana cdm je ww shostito? Teh teh
 
Kama wafuasi wa chama cha magamba wanatumwa kuja kumwaga upupu hapa namna hii safari yetu ya kufikia maendeleo na uhuru wa kweli badi ni ndefu sana.
 
Back
Top Bottom