Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,992
kwenu wana jf;habarini za mchana kwa waliomchana ;tumejitahidi kuona na kusaidia jinsi mtu anavotakiwa kuishi baada ya ndoa;tumeona watu wengi wanavyofanya sherehe ya harusi kubwaa ama ya kawaida wanaishia kuachana mapema...masilan tumeona watu wengi hivi sasa wameamua kuishi kama familia bila kudhinisha uhalali wa NDOA.yaani ((Uzinzi.))...Bado kichwa kinauma katika haya mambo kwa nini wanaume wengi wanaogopa ndoa hivi sasa
pili naomba msaada kwa nini ndoa nyingi hivi sasa zinakaa muda mchache wanaachana......embu kabla ya kuwasaidia kukimbilia ndoa tuwasaidie kupata suluhisho ata least watu wanaenda kwenye ndoa wakiwa na amani mikono yao miwili...kwenu washarika
pili naomba msaada kwa nini ndoa nyingi hivi sasa zinakaa muda mchache wanaachana......embu kabla ya kuwasaidia kukimbilia ndoa tuwasaidie kupata suluhisho ata least watu wanaenda kwenye ndoa wakiwa na amani mikono yao miwili...kwenu washarika