Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Nimekuwa nikiangalia shoo nyingi za wanamuziki za First world na kulinganisha na shoo zetu hapa TZ na Africa kwa ujumla.
Kitu nilichogundua ni kwamba katika shoo za 'mbele' wanawake huwa wengi sana katika shoo..wanaume unatafuta. Hii ni kinyme na huku kwetu, wanaume huwa wengi zaidi na hivyo akina dada au wanawake wanakuwa wa kutafuta.. Hii pia ni case mpaka kwenye club za starehe za usiku. !
Naomba mawazo yenu wadau, kwa nini hali iko hivi?
Kitu nilichogundua ni kwamba katika shoo za 'mbele' wanawake huwa wengi sana katika shoo..wanaume unatafuta. Hii ni kinyme na huku kwetu, wanaume huwa wengi zaidi na hivyo akina dada au wanawake wanakuwa wa kutafuta.. Hii pia ni case mpaka kwenye club za starehe za usiku. !
Naomba mawazo yenu wadau, kwa nini hali iko hivi?